CHADEMA kuchangisha michango kununua gari jipya la Lissu ni wizi

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Mar 10, 2022
17,977
32,546
Kwa akili ya kawaida ili swala la kumchangia gari lissu ni wizi na ufisadi, kwa hali ya kawaida wanae mchangia ndiye anasema anataka kuondoa umasikini kwa watz ila bado anaomba msaada kwa masikini hao ambao wanamtegemea yeye kuja kuwatoa katika wimbi la umasikini hii imekaaje kaaje?

Lissu acha kuibia watz ilo lipo wazi wewe umejitosheleza kwa kila kitu bado unakuja mbele ya watu unaomba mchango upate gari jipya kweli kwa masikini hao hao ambao hawana ajira ambao bado hawajajua hatima yao ya kesho bado wanapambana kupata bei mzuri ya kuuza mazao yao mbona unakuwa na tabia za chuma ulete.

Michango ya chadema inakuwa na manufaa kwa viongozi na sio Chama kuna vitu tunatakiwa kuonyesha uzalendo lakini sio kwa kuchangia gari chadema na wanachama wake muwe mnajitathimi michango ambayo mnaieleta kwa wananchi wawa wawachangie

CHADEMA kwa hali mlio fikia hampaswi kuitwa Chama kikuu cha upinzani Tz tunaona wazi kabisa kuwa mnania ya kuwafanya masikini wazidi kuwa masikini zaid
 
Ni sawa, na hata serikali walitakiwa wampatie gari na waseme ni kibaka nani amehusika na ule udhalimu, kama hayuko hai, kaburi lipigwe bomu,
ilo gari halikuwa na bima?

acheni kuwa wapumbavu na mmesoma mlipelekwa shule kuondoa ujinga na kuongeza uwezo wa kufikiri wewe unapanga foleni kwenye mwendo kasi af leo unamchangia mtu pesa ili asinyeshewe na mvua izo ni akili kwli
 
ilo gari halikuwa na bima?

acheni kuwa wapumbavu na mmesoma mlipelekwa shule kuondoa ujinga na kuongeza uwezo wa kufikiri wewe unapanga foleni kwenye mwendo kasi af leo unamchangia mtu pesa ili asinyeshewe na mvua izo ni akili kwli
Kuchangia ni kuonesha kuguswa, haimaanishi aliechangiwa hana,
 
Kwa akili ya kawaida ili swala la kumchangia gari lissu ni wizi na ufisadi, kwa hali ya kawaida wanae mchangia ndiye anasema anataka kuondoa umasikini kwa watz ila bado anaomba msaada kwa masikini hao ambao wanamtegemea yeye kuja kuwatoa katika wimbi la umasikini hii imekaaje kaaje?

Lissu acha kuibia watz ilo lipo wazi wewe umejitosheleza kwa kila kitu bado unakuja mbele ya watu unaomba mchango upate gari jipya kweli kwa masikini hao hao ambao hawana ajira ambao bado hawajajua hatima yao ya kesho bado wanapambana kupata bei mzuri ya kuuza mazao yao mbona unakuwa na tabia za chuma ulete.

Michango ya chadema inakuwa na manufaa kwa viongozi na sio Chama kuna vitu tunatakiwa kuonyesha uzalendo lakini sio kwa kuchangia gari chadema na wanachama wake muwe mnajitathimi michango ambayo mnaieleta kwa wananchi wawa wawachangie

CHADEMA kwa hali mlio fikia hampaswi kuitwa Chama kikuu cha upinzani Tz tunaona wazi kabisa kuwa mnania ya kuwafanya masikini wazidi kuwa masikini zaid
Wanaochangia wote unawafahamu?Uliwahi kuwaona?Wamelazimishwa?Wamekuibia au wamemuibia nani?Ukipata majibu ndiyo sasa ujitulize kwa sababu wewe unafurahi kuitwa "masikini-mnyonge"!
 
kwahiyo viongozi wa ccm utajiri wameupatia wapi kama si kichwani kwako
sipo kutetea viongozi tawala ninalo kemea hapa ni michango ambayo wanawakamua masikini kwa kipato chao kidogo iko iko bado wanakitaka lini umeona ccm inatembeza bakuri ?
 
Kwa akili ya kawaida ili swala la kumchangia gari lissu ni wizi na ufisadi, kwa hali ya kawaida wanae mchangia ndiye anasema anataka kuondoa umasikini kwa watz ila bado anaomba msaada kwa masikini hao ambao wanamtegemea yeye kuja kuwatoa katika wimbi la umasikini hii imekaaje kaaje?
Na yule mstaafu alie jengewa nyumba na serikali hata miaka 2 hajaishi kwenye hio nyumba na kufariki. Huu nao si ufisadi?.
 
sipo kutetea viongozi tawala ninalo kemea hapa ni michango ambayo wanawakamua masikini kwa kipato chao kidogo iko iko bado wanakitaka lini umeona ccm inatembeza bakuri ?
CCM watembeze bakuli la nini wakati wanamiliki hazina ya fedha/utajiri/benki yote?Wanajichotea watakavyo.Wewe lipa kodi achana na wanaomchangia mtu wao.
 
Wanaochangia wote unawafahamu?Uliwahi kuwaona?Wamelazimishwa?Wamekuibia au wamemuibia nani?Ukipata majibu ndiyo sasa unitulize kwa sababu wewe unafurahi kuitwa "masikini-mnyonge"!
inamaana Chama kinakosa bajet hakipati ruzuku haikupaswa Chama kurudi mbele za wananchi kuomba michango tena Bali ilipaswa Chama kijiendeshe chenyewe kufumbua project za Chama ambapo zingesaidia kutimiza mahitaji yao kama hayo ambayo wao.wanayaona ni muhimu
 
Back
Top Bottom