Kimsingi nchi hii inahitaji kukombolewa.Embu twmbie huko kwenu inauwaje?
Niko hapa Dar. Cement in kati ya 16,500 n 18,000.
Mishahara ikop palepale.
Tunauliza; Tutajenga kweli?. Naambiwa kuna TOZO ya Serikali haijaanza kutozwa - Sijui ni ipi hiyo.
Nchi iliyokombolewa haitizwi Kodi 🤣🤣Kimsingi nchi hii inahitaji kukombolewa.
watakwambia DPW watashusha bei ya Cement, CCM akili zao wanazijua wenyeweEmbu twambie huko kwenu inauwaje?
Niko hapa Dar. Cement ni kati ya 16,500 n 18,000.
Mishahara iko palepale.
Tunauliza; Tutajenga kweli?. Naambiwa kuna TOZO ya Serikali haijaanza kutozwa - Sijui ni ipi hiyo.
Watajenga tu wenye uwezo wa kujenga!!Tutajenga kweli?
Nchi zote zilizokombolewa duniani, wananchi wake wanatozwa Kodi za Haki.Nchi iliyokombolewa haitizwi Kodi 🤣🤣
Kodi ipi sio ya Haki?Nchi zote zilizokombolewa duniani, wananchi wake wanatozwa Kodi za Haki.