CCM hawana jipya zaidi ya kuwaza rais ajaye!!!!

Njaare

JF-Expert Member
Sep 26, 2010
1,081
275
Mara baada ya uchaguzi wa mwaka 2005, kila kukicha tunasikia CCM wakiongelea ni nani atakayemrithi Kikwete. Kambi nyingi zimetajwa na baadhi ya wanaCCM wameshajipambanua wako kambi ipi. Hata hivyo wakati wakihangaika kumpata mrithi wa Kikwete, Nchi wananchi wengi wanazidi kuwa maskini, majangili na wauza unga wanazidi kutamba. Je CCM hawana mipango mingine zaidi ya kuwaza nani ataingia ikulu?
 
Hakuna wanacho waza zaidi ya madaraka na nina hofu hata hayo madawa ya kulevya ni namna ya kupata pesa za uchaguzi.Hofu yangu wapigane wao kwa wao lakini watuachie nchi yetu salama.
 
Hili nalo mbona siyo JIPYA kwao, maana walishaanza kuliwaza tangia 2005.
 
Back
Top Bottom