CAST VOTE: Kati ya Freeman Mbowe, Tundu Lissu na John Heche nani anafaa kuiongoza CHADEMA kuelekea 2029?

Kati ya Freeman Mbowe, Tundu Lissu na John Heche nani anafaa kuiongoza CHADEMA kuelekea 2029.

  • 1. Freeman Aikael Mbowe

    Votes: 23 17.8%
  • 2. Tundu Antipus Lissu

    Votes: 57 44.2%
  • 3. John Wegesa Heche

    Votes: 49 38.0%

  • Total voters
    129
  • Poll closed .

Abrams

Senior Member
Apr 27, 2024
158
180
IMG-20240507-WA0098.jpg

FREEMAN AIKAEL MBOWE

IMG-20240507-WA0095(1).jpg

TUNDU ANTIPUS LISSU


IMG-20240507-WA0128.jpg

JOHN WEGESA HECHE​

JINSI YA KUPIGA KURA.

1. Gusa jina la Unayemtaka
2. Shuka chini gusa "Cast Vote"

#Kupigakura ni Kwa mgombea mmoja tu vigezo na masharti kuzingatiwa.
 
Mbowe alisema kuhusu hicho Cheo sumu haionywi

Akiongelea mtu akae mbali kukitaka hicho kiti Cha Uenyekiti wa Chadema Taifa zaidi ya yeye

Sumaye haji sahau

Kwani Mbowe mwenyewe anasemaje?
 
Binafsi sijaona wa kumpiku Mbowe! Mbowe bado ni hazina kwa CHADEMA! Kwangu naona ni mwanasiasa wa Siasa za Wastani! Ana hekima na busara! Hana siasa zilizojaa jaziba na mihemko iliyopita kiasi.
Sijaona kama Mbowe amechoka sana kiasi cha kutomhitahi katika nafasi hiyo!
 
Heche hana ushawishi Mkubwa kwa sasa. Badala yake, ningeshauri aanzie kwenye nafasi ya chini kidogo, mathalani Ukatibu Mkuu. Baadae anaweza kupanda

Tundu Antipas Lissu pekee ndiye mwenye muscles za kukikalia kiti hicho. Yeye ndiye mtu madhubuti wa kuisema serikali ya CCM bila kumung'unya maneno. Hatetereki wala hababaishwi na danganya toto za Suluhu.
 
Heche hana ushawishi Mkubwa kwa sasa. Badala yake, ningeshauri aanzie kwenye nafasi ya chini kidogo, mathalani Ukatibu Mkuu. Baadae anaweza kupanda

Tundu Antipas Lissu pekee ndiye mwenye muscles za kukikalia kiti hicho. Yeye ndiye mtu madhubuti wa kuisema serikali ya CCM bila kumung'unya maneno. Hatetereki wala hababaishwi na danganya toto za Suluhu.
Pigakura
 
Binafsi sijaona wa kumpiku Mbowe! Mbowe bado ni hazina kwa CHADEMA! Kwangu naona ni mwanasiasa wa Siasa za Wastani! Ana hekima na busara! Hana siasa zilizojaa jaziba na mihemko iliyopita kiasi.
Sijaona kama Mbowe amechoka sana kiasi cha kutomhitahi katika nafasi hiyo!
Ana 20yrs kwenye hicho cheo, apishe wengine waongoze Sasa. Isitoshe hata yeye alishaahidi kuwa 2024 ni mwisho wake. Au anataka kubadili gia angani kwenye hili pia?
 
Ana 20yrs kwenye hicho cheo, apishe wengine waongoze Sasa. Isitoshe hata yeye alishaahidi kuwa 2024 ni mwisho wake. Au anataka kubadili gia angani kwenye hili pia?
Acha maneno pigakura
 
Hicho cheo ni kama sumu haionjwi. Hata kama wanachadema wote wangefaa bado hicho cheo ni kama mali binafsi ya Mbowe. Subirini mtoto wake James aje awaongoze na sio watu baki kama Lissu na Heche
 
Binafsi sijaona wa kumpiku Mbowe! Mbowe bado ni hazina kwa CHADEMA! Kwangu naona ni mwanasiasa wa Siasa za Wastani! Ana hekima na busara! Hana siasa zilizojaa jaziba na mihemko iliyopita kiasi.
Sijaona kama Mbowe amechoka sana kiasi cha kutomhitahi katika nafasi hiyo!
Mbowe ni kiongozi mzuri sana. Lakini mimi naamini walioweka ukomo wa uongozi wana sababu nzuri sana. Hata uwe kiongozi mzuri namna gani, lakini kuna vitu uta-overlook kama utakaa kwenye madaraka kwa muda mrefu. Na pia una set pecedence mbaya itakayotumiwa na viongozi wengine wenye uchu wa madaraka. Na pia kupata mawazo mapya ni muhimu kwani binadamu huwezi kuwa mzuri kwa kila jambo. Mwisho: fulani anaweza kuwa ni kiongozi mzuri sana, na mkadhani akiondoka hakuna wa kuziba pengo lake, lakini akiondoka akaja mtu mwingine na akawa mzuri kuliko yule mliyedhani ni mzuri sana.
 
Ana 20yrs kwenye hicho cheo, apishe wengine waongoze Sasa. Isitoshe hata yeye alishaahidi kuwa 2024 ni mwisho wake. Au anataka kubadili gia angani kwenye hili pia?
Kubadili uongozi baada ya mtu kukaa wa kipindi fulani ni muhimu sana, hata kama ni mzuri kiasi gani. Kuna faida kuliko hasara.
 
Mbowe ni kiongozi mzuri sana. Lakini mimi naamini walioweka ukomo wa uongozi wana sababu nzuri sana. Hata uwe kiongozi mzuri namna gani, lakini kuna vitu uta-overlook kama utakaa kwenye madaraka kwa muda mrefu. Na pia una set pecedence mbaya itakayotumiwa na viongozi wengine wenye uchu wa madaraka. Na pia kupata mawazo mapya ni muhimu kwani binadamu huwezi kuwa mzuri kwa kila jambo. Mwisho: fulani anaweza kuwa ni kiongozi mzuri sana, na mkadhani akiondoka hakuna wa kuziba pengo lake, lakini akiondoka akaja mtu mwingine na akawa mzuri kuliko yule mliyedhani ni mzuri sana.
Pigakura Wacha maneno mengi
 
Back
Top Bottom