TANZIA CAG Mstaafu Profesa Assad afiwa na mkewe Dkt. Badria Bave Msambichaka

Dx and Rx

JF-Expert Member
Jul 16, 2017
1,304
3,086
Habari nilizozipata ni kuwa aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu sa Serikali CAG Prof Assad amefiwa na mkewe ghafla usiku wa leo

Msiba upo nyumbani kwake Tegeta na maziko ni leo saa 10 jioni Magomeni

Poleni kwa Familia ya Prof Assad, ndugu jamaa na marafiki wote

---
Mkurugenzi wa Tawheed Development Network Profesa Musa Juma Assad anatangaza msiba wa katibu wa TAWHEED Dr Badria Bave Msambichaka kilichotokea ghafla usiku wa jana jumanne tarehe 16 Aprili 2024

MAREHEMU DR BADRIA AMBAYE NDIYE MKEWE PROFESA ASSAD ATAZIKWA LEO SAA KUMI MAKABURI YA MWINYI MKUU MAGOMENI DSM NA MSIBA UPO NYUMBANI KWAKE TEGETA

Hakika msiba ni Qadar
.Marehemu Dr Badria amehitimu shahada ya PhD ughaibuni hivi karibuni.

Lakini pia amekuwa nchini India hospitali kwa muda mrefu sana akimuuguza mwanae wa mwisho.

WanaTawheed wote wakiwemo mahujaji na waislamu wote wanamuombea msamaha kwa mwenyezi Mungu amzidishie nuru kaburini kwake amjaalie firdausi kwa kuwakirimu na kuwahudumia mahujaji maishani mwake...

Tunaiombea Subra familia ndugu jamaa na marafiki

LEO TUPO KESHO HATUPO TUTENDE WEMA KABISA

Innalillah wainalillah Rajiina


Juma Nchia
Afisa habari Tawheed.
0784822332
Tarehe 17 /4/2024.Saa:2:00 Asubuhi
Dodoma.

--------------------------------

UPDATES:


MABADILIKO YA RATIBA YA MAZISHI YA MKE WA PROF ASSAD

KUNA MABADILIKO YA MAZIKO YA MKE WA PROFESA MUSSA ASAD WANAZIKA KESHO SAA TANO MAKABURI YA KISUTU NA ATASWALIWA MSIKITI WA MAAMUR

WAJULISHE NA WENGINE TAARIFA HIZI

Kwa maelezo zaidi.

0784822332.
 
Habari nilizozipata ni kuwa aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu sa Serikali CAG Prof Assad amefiwa na mkewe ghafla usiku wa leo

Msiba upo nyumbani kwake Tegeta na maziko ni leo saa 10 jioni Magomeni

Poleni kwa Familia ya Prof Assad, ndugu jamaa na marafiki wote

Niungane kutoa pole nyingi kwa Prof; Mungu akawe mfariji katika kipindi hiki Kigumu. Sote tuwaMungu na kwake tutarejea; Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un
 
Habari nilizozipata ni kuwa aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu sa Serikali CAG Prof Assad amefiwa na mkewe ghafla usiku wa leo

Msiba upo nyumbani kwake Tegeta na maziko ni leo saa 10 jioni Magomeni

Poleni kwa Familia ya Prof Assad, ndugu jamaa na marafiki wote
Pole sana. Mungu ampe kustahimii majonzi haya
 
Pole sana Prof. Assad Mungu akutie nguvu, unapita kwenye kipindi kigumu kumpoteza mkeo ghafla namna hiyo
 
TAWHEED DEVELOPMENT NETWORK

Taasisi ya hija na Umrah


TANZIA

INNALILLAH WAINALILLAH RAJIUNA

**********
Mkurugenzi wa Tawheed Development Network Profesa Musa Juma Assad anatangaza msiba wa katibu wa TAWHEED Dr Badria Bave Msambichaka kilichotokea ghafla usiku wa jana jumanne tarehe 16 Aprili 2024

MAREHEMU DR BADRIA AMBAYE NDIYE MKEWE PROFESA ASSAD ATAZIKWA LEO SAA KUMI MAKABURI YA MWINYI MKUU MAGOMENI DSM NA MSIBA UPO NYUMBANI KWAKE TEGETA

Hakika msiba ni Qadar
.Marehemu Dr Badria amehitimu shahada ya PhD ughaibuni hivi karibuni.

Lakini pia amekuwa nchini India hospitali kwa muda mrefu sana akimuuguza mwanae wa mwisho.

WanaTawheed wote wakiwemo mahujaji na waislamu wote wanamuombea msamaha kwa mwenyezi Mungu amzidishie nuru kaburini kwake amjaalie firdausi kwa kuwakirimu na kuwahudumia mahujaji maishani mwake...

Tunaiombea Subra familia ndugu jamaa na marafiki

LEO TUPO KESHO HATUPO TUTENDE WEMA KABISA

Innalillah wainalillah Rajiina

🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Juma Nchia
Afisa habari Tawheed.
0784822332
Tarehe 17 /4/2024.Saa:2:00 Asubuhi
Dodoma.
 
Back
Top Bottom