Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,259
- 42,192
Mbumbu Nape Nnauye na January MakambaWakati magufuli anaanza ujenzi. Walidanganya kwamba bwawa halitajaaa maana miti imekatwa mingi.. mvua hazitakuwepo
Mbumbu Nape Nnauye na January MakambaWakati magufuli anaanza ujenzi. Walidanganya kwamba bwawa halitajaaa maana miti imekatwa mingi.. mvua hazitakuwepo
Mambo mengi sana aisee! Tunapigwa chenga za kila aina.Hiyo kazi ya kujaza maji si ndo ilichukuwa muda mrefu na mradi kuchelewa? Sasa yanamwagwa tena?
Au kuna kitu sijaelewa hapa?
Halafu unaenda kuongeza mke eti nyumba ni kubwa sana.Ndio mipango ya kiafrika hiyo
Ujenzi wa nyumba wanaanza na paa halafu kisha wanarudi kuchimba msingi.
CCM wanasema mama anaupiga mwingi kajaza bwawaPongezi kwa Samia na CCM kwa kujaza bwawa!
Kweni Maji ya hilo Bwawa si ni ya Rufiji na sio ya Chumvi.Eeeh mkuu si unajua maji ya bahari yana chumvi,samaki wenyewe maji ya kunywa wanatumia ya mtoni.
kazi ilisimama kwa miaka2Kwanini mradi haujakamilika Kwa wakati!!?
Hapo ndipo Huwa napata hasira hapa!!
Fedha walizokopa kwa ajili ujenzi ziko wapi!!?
Mungu ibariki Tanzania!!
Kisa!!?Hela hamna au!!?kazi ilisimama kwa miaka2
covid19Kisa!!?Hela hamna au!!?
Maana ujenzi ulisimama baada ya jpm.kwenda kwani aliondoka na Bwawa!!?
Halina overflow, huoni juu Kuna Barabara magari yatapita, muundo wake ni kama mteraKwanini wafungulie kwani hakuna "overflow" kwenye design yake?
Hilo halikuwa wazo la magufuli,muwe mnafuatilia mambo,magufuli ana uelewa gani wa bwawa la umeme na kilimo Cha umwagiliaji!?..Magufuli alisema pale chini ya bwawa kutakuwa na kilimo cha umwagiliaji, mpunga utakao limwa pale utaweza lisha dar yote, sasa sijui kama hilo lita fanyika maana mwenye wazo lake hayupo tena.
Bwawa lipo morogoro,mto ndiyo unaitwa rufiji,acha mawazo ya kufunga pampu za maji huko,mbaliKweni Maji ya hilo Bwawa si ni ya Rufiji na sio ya Chumvi.
Na mtambo huo Namba 9 una hitilafu. Wakati wowote utazimwa.Bwawa la mwalimu Nyerere limejaa kabisa mpaka kufikia ujazo wa MITA 185 kati ya mita 186 kutoka usawa wa Bahari.
Hivyo Serikali kuanzia Muda wowote itaanza kumwaga maji au kufungulia maji Kwa lugha ya Magufuli, hili zoezi linafanyika kwakuwa mitambo ya uzalishaji umeme haijakamilika yote kama ilivyokusudiwa, maji yaliyopo ni mengi na mashine inayotembea ni moja tu, hivyo Serikali itafungulia maji bure Ili yaende baharini samaki wakanywe.
Mradi ukikamilika unatarajia kuzungusha mashine 9.
Lazima kutakua na design ambayo ni much better. Naona upande wa kulia kuna vyuma kama vents, most probably hio ndio overflow yake.Halina overflow, huoni juu Kuna Barabara magari yatapita, muundo wake ni kama mtera
Kwahiyo hayo maji ya Bwawa yanatoka Bahari ya Wahindi?Bwawa lipo morogoro,mto ndiyo unaitwa rufiji,acha mawazo ya kufunga pampu za maji huko,mbali
Hitilafu ipi?Na mtambo huo Namba 9 una hitilafu. Wakati wowote utazimwa.
Hii nchi Mgao hakutaisha kamweHitilafu ipi?
sisi tunataka umeme tuBwawa la mwalimu Nyerere limejaa kabisa mpaka kufikia ujazo wa MITA 185 kati ya mita 186 kutoka usawa wa Bahari.
Hivyo Serikali kuanzia Muda wowote itaanza kumwaga maji au kufungulia maji Kwa lugha ya Magufuli, hili zoezi linafanyika kwakuwa mitambo ya uzalishaji umeme haijakamilika yote kama ilivyokusudiwa, maji yaliyopo ni mengi na mashine inayotembea ni moja tu, hivyo Serikali itafungulia maji bure Ili yaende baharini samaki wakanywe.
Mradi ukikamilika unatarajia kuzungusha mashine 9.