BoT ichunguzeni Benki ya NMB inawanyonya wakopaji

zandrano

JF-Expert Member
Jan 24, 2017
7,284
7,853
Kama kuna Benki inayo wanyonya wakopaji basi Benki ya NMB inawakausha damu wananchi kisawasawa.

Inawezekanaje mtu anakopa milioni 9 analipa milioni 80 ?!!! Huu ni wiza wa mchana kweupe!!!!
Huu ni utapeli!!!!
Huu ni unyonyaji!!!!
Huu ni ukaushaji damu!!!!

Kisa mteja anashida ya kukopa basi ndio aadhibiwe kwa riba ya kukandamiza??

Wananchi tunaiomba BOT iichunguze hii Benki ya NMB, iangalie mikopo iliyotolewa kwa wateja na Riba wanazo watoza wakopaji je ni sahihi au sio sahihi.

NMB inawaumiza sana wakopaji, wizi mtupu.

Ndio maana tunauomba uongozi wa Benki Kuu (BoT) wakisaidiana na CAG wafanye uchunguzi wa kitaalamu kwenye taratibu za mikopo ya Banki hii ya NMB ili kuwanusuru Raia na Unyonyaji unao endelea.

Wananchi wanafahamu kuwa Bunge letu tukufu limeiagiza Serikali kupitia Wizara ya Fedha kufuatilia mikopo kausha damu kwenye taasisi zote za kifedha lkn tunaomba uchunguzi wa kina ufanywe kwa Benki hii ya NMB.
 
Kama kuna Benki inayo wanyonya wakopaji basi Benki ya NMB inawakausha damu wananchi kisawasawa.

Inawezekanaje mtu anakopa milioni 9 analipa milioni 80 ?!!! Huu ni wiza wa mchana kweupe!!!!
Huu ni utapeli!!!!
Huu ni unyonyaji!!!!
Huu ni ukaushaji damu!!!!

Kisa mteja anashida ya kukopa basi ndio aadhibiwe kwa riba ya kukandamiza??

Wananchi tunaiomba BOT iichunguze hii Benki ya NMB, iangalie mikopo iliyotolewa kwa wateja na Riba wanazo watoza wakopaji je ni sahihi au sio sahihi.

NMB inawaumiza sana wakopaji, wizi mtupu.
Kwani huo mkopo wanalazimisha au mnajipeleka wenyewe kisa nyie ni watumishi mnakopesheka.
 
Kama kuna Benki inayo wanyonya wakopaji basi Benki ya NMB inawakausha damu wananchi kisawasawa.

Inawezekanaje mtu anakopa milioni 9 analipa milioni 80 ?!!! Huu ni wiza wa mchana kweupe!!!!
Huu ni utapeli!!!!
Huu ni unyonyaji!!!!
Huu ni ukaushaji damu!!!!

Kisa mteja anashida ya kukopa basi ndio aadhibiwe kwa riba ya kukandamiza??

Wananchi tunaiomba BOT iichunguze hii Benki ya NMB, iangalie mikopo iliyotolewa kwa wateja na Riba wanazo watoza wakopaji je ni sahihi au sio sahihi.

NMB inawaumiza sana wakopaji, wizi mtupu.
walimu mna shida sana
mkopo umeisha sasa una hangaika
 
Kama kuna Benki inayo wanyonya wakopaji basi Benki ya NMB inawakausha damu wananchi kisawasawa.

Inawezekanaje mtu anakopa milioni 9 analipa milioni 80 ?!!! Huu ni wiza wa mchana kweupe!!!!
Huu ni utapeli!!!!
Huu ni unyonyaji!!!!
Huu ni ukaushaji damu!!!!

Kisa mteja anashida ya kukopa basi ndio aadhibiwe kwa riba ya kukandamiza??

Wananchi tunaiomba BOT iichunguze hii Benki ya NMB, iangalie mikopo iliyotolewa kwa wateja na Riba wanazo watoza wakopaji je ni sahihi au sio sahihi.

NMB inawaumiza sana wakopaji, wizi mtupu.
 
Kama kuna Benki inayo wanyonya wakopaji basi Benki ya NMB inawakausha damu wananchi kisawasawa.

Inawezekanaje mtu anakopa milioni 9 analipa milioni 80 ?!!! Huu ni wiza wa mchana kweupe!!!!
Huu ni utapeli!!!!
Huu ni unyonyaji!!!!
Huu ni ukaushaji damu!!!!

Kisa mteja anashida ya kukopa basi ndio aadhibiwe kwa riba ya kukandamiza??

Wananchi tunaiomba BOT iichunguze hii Benki ya NMB, iangalie mikopo iliyotolewa kwa wateja na Riba wanazo watoza wakopaji je ni sahihi au sio sahihi.

NMB inawaumiza sana wakopaji, wizi mtupu.
Jipange upya kwenye hoja yako. Unawezaje kukopa Tsh 9 Million na kulipa 80 Million? Umezipata wapi?

Inabidi na wewe ufunguliwe kesi ya money laundering
 
Kama kuna Benki inayo wanyonya wakopaji basi Benki ya NMB inawakausha damu wananchi kisawasawa.

Inawezekanaje mtu anakopa milioni 9 analipa milioni 80 ?!!! Huu ni wiza wa mchana kweupe!!!!
Huu ni utapeli!!!!
Huu ni unyonyaji!!!!
Huu ni ukaushaji damu!!!!

Kisa mteja anashida ya kukopa basi ndio aadhibiwe kwa riba ya kukandamiza??

Wananchi tunaiomba BOT iichunguze hii Benki ya NMB, iangalie mikopo iliyotolewa kwa wateja na Riba wanazo watoza wakopaji je ni sahihi au sio sahihi.

NMB inawaumiza sana wakopaji, wizi mtupu.
NMB hii niliyowahi kukopa
 
Hii benki ina watetezi wengi humu toka iwe chini ya huyo Mama.
Ndio maana tunauomba uongozi wa Benki Kuu (BoT) wakisaidiana na CAG wafanye uchunguzi wa kitaalamu kwenye taratibu za mikopo ya Banki hii ya NMB ili kuwanusuru Raia na Unyonyaji unao endelea.

Wananchi wanafahamu kuwa Bunge letu tukufu limeiagiza Serikali kupitia Wizara ya Fedha kufuatilia mikopo kausha damu kwenye taasisi zote za kifedha lkn tunaomba uchunguzi wa kina ufanywe kwa Benki hii ya NMB.
 
Mkopo wa muda gani? Rejesho kiasi gani kwa mwezi? Isije ikawa umekopa M9 miaka 20 rejesho elfu themanini, lazima riba iwe juu. Unachotakiwa wewe kufanya ni kulipa nyingi ili kupunguza muda na kuipunguza riba. Mfumo wa reducing ni mzuri.
 
Pamoja na hivyo hiyo isiwe kichaka cha kuwatapeli wananchi.
Wengi wa wakopaji wanashida hivyo hawana namna nyingine zaidi ya kuingia kwenye mkataba wa kitapeli.
Mkuu reason kama mtu mzima kwani wamekiuka makubaliano ulio saini wakati unanchukua mkopo? Kama hawajakiuka makubaliaono ya awali kwanini ulisaini mkopo aliakua anajua ni wezi,........watumishi wengi hususani waalimu hamjazoea pesa nyingi ukiona tu 10m unakua na mhemuko wa kusaini bila kusoma agreement mwishiwe unakuja kulalamika wakati pesa ulitumia peke yako, huo sio ungwana mkuu.
 
Hii benki ina watetezi wengi humu toka iwe chini ya huyo Mama.
Mtu kuombwa taarifa kuhusu mikopo inaitwa utetezi!

Maswala ya kifedha watu wengi hawayafahamu, na kukiwa na nyuzi kama hizi, ndio wananchi wanazidi kutishika.

Aweke hizo taarifa kwanza. Mkopo wa muda gani, riba kwa mwaka ilikuwa kiasi gani
 
Back
Top Bottom