Bondia Hassan Mwakinyo amepata pigo la kwanza katika kesi aliyofunguliwa na Promota

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,309
5,464
Snapinsta.app_438762494_499762365712515_5118856382875148268_n_1080.jpg
Bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mwakinyo amepata pigo la kwanza katika kesi yake ya madai inayomkabili kufuatia pingamizi lake aliloliweka katika kesi hiyo dhidi ya mdai Kampuni ya PAF Promotion kutupiliwa mbali katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutokana na kukosa mashiko kwa mujibu wa Sheria.

Kesi hiyo ambayo inasikilizwa mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Kisutu, Amiri Msumi ambaye ametupilia mbali baada ya kuona mahakama hiyo haikuona haja ya kuendelea kushikilia pingamizi hilo kutokana na kukosa mashiko kwa mujibu wa sheria.

Hakimu Mkazi Mkuu, Amiri Msumi alisema baada ya mahakama kupitia nyaraka zilizokuwepo mahakamani na kuona kilichokuwa kinapingwa mdaiwa (Mwakinyo) ni tarehe ya uthibitisho wa madai ya Paf ambayo mahakama iliona imejazwa kwa usahihi kuwa ni tarehe 11.10.2023.

Hivyo, mahakama hiyo imesema pingamizi halina mashiko kwa kuwa nyaraka inayoaminiwa ya kwanza ni iliyopo mahakamani na imejazwa vizuri kwa mujibu wa sheria, hivyo mahakama imeona haina haja ya kushikilia pingamizi hilo kwa kulitupilia mbali.

Mahakama imetoa amri kwa kuwa kesi iendelee kwa kongamano la awali (fist pre trial conference' ambayo imepangwa kusikilizwa Aprili 23, 2024 Saa Sita Mchana mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Kisutu, Amri Msumi.

Katika kesi hiyo, Kampuni ya PAF Promotion inawakilishwa na wakili msomi, Herry Kauki wakati Hassan Mwakinyo kwa upande wa mdaiwa akiwakilishwa wakili msomi, Azad Athumani.

Chanzo: boxinghubtz

Pia soma:
- Hatimaye wakili wa Mwakinyo kafika mahakamani leo
- Kampuni ya PAF Promotion yampeleka Mahakamani Mwakinyo, yamdai fidia ya mamilioni
 
Bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mwakinyo amepata pigo la kwanza katika kesi yake ya madai inayomkabili kufuatia pingamizi lake aliloliweka katika kesi hiyo dhidi ya mdai Kampuni ya PAF Promotion kutupiliwa mbali katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutokana na kukosa mashiko kwa mujibu wa Sheria.

Kesi hiyo ambayo inasikilizwa mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Kisutu, Amiri Msumi ambaye ametupilia mbali baada ya kuona mahakama hiyo haikuona haja ya kuendelea kushikilia pingamizi hilo kutokana na kukosa mashiko kwa mujibu wa sheria.

Hakimu Mkazi Mkuu, Amiri Msumi alisema baada ya mahakama kupitia nyaraka zilizokuwepo mahakamani na kuona kilichokuwa kinapingwa mdaiwa (Mwakinyo) ni tarehe ya uthibitisho wa madai ya Paf ambayo mahakama iliona imejazwa kwa usahihi kuwa ni tarehe 11.10.2023.

Hivyo, mahakama hiyo imesema pingamizi halina mashiko kwa kuwa nyaraka inayoaminiwa ya kwanza ni iliyopo mahakamani na imejazwa vizuri kwa mujibu wa sheria, hivyo mahakama imeona haina haja ya kushikilia pingamizi hilo kwa kulitupilia mbali.

Mahakama imetoa amri kwa kuwa kesi iendelee kwa kongamano la awali (fist pre trial conference' ambayo imepangwa kusikilizwa Aprili 23, 2024 Saa Sita Mchana mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Kisutu, Amri Msumi.

Katika kesi hiyo, Kampuni ya PAF Promotion inawakilishwa na wakili msomi, Herry Kauki wakati Hassan Mwakinyo kwa upande wa mdaiwa akiwakilishwa wakili msomi, Azad Athumani.

Chanzo: boxinghubtz

Pia soma:
- Hatimaye wakili wa Mwakinyo kafika mahakamani leo
- Kampuni ya PAF Promotion yampeleka Mahakamani Mwakinyo, yamdai fidia ya mamilioni
Dah majanga......ni bora wamalize nje ya mahakama,ila mwakinyo apunguze tatariraaaaa!
 
Bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mwakinyo amepata pigo la kwanza katika kesi yake ya madai inayomkabili kufuatia pingamizi lake aliloliweka katika kesi hiyo dhidi ya mdai Kampuni ya PAF Promotion kutupiliwa mbali katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutokana na kukosa mashiko kwa mujibu wa Sheria.

Kesi hiyo ambayo inasikilizwa mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Kisutu, Amiri Msumi ambaye ametupilia mbali baada ya kuona mahakama hiyo haikuona haja ya kuendelea kushikilia pingamizi hilo kutokana na kukosa mashiko kwa mujibu wa sheria.

Hakimu Mkazi Mkuu, Amiri Msumi alisema baada ya mahakama kupitia nyaraka zilizokuwepo mahakamani na kuona kilichokuwa kinapingwa mdaiwa (Mwakinyo) ni tarehe ya uthibitisho wa madai ya Paf ambayo mahakama iliona imejazwa kwa usahihi kuwa ni tarehe 11.10.2023.

Hivyo, mahakama hiyo imesema pingamizi halina mashiko kwa kuwa nyaraka inayoaminiwa ya kwanza ni iliyopo mahakamani na imejazwa vizuri kwa mujibu wa sheria, hivyo mahakama imeona haina haja ya kushikilia pingamizi hilo kwa kulitupilia mbali.

Mahakama imetoa amri kwa kuwa kesi iendelee kwa kongamano la awali (fist pre trial conference' ambayo imepangwa kusikilizwa Aprili 23, 2024 Saa Sita Mchana mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Kisutu, Amri Msumi.

Katika kesi hiyo, Kampuni ya PAF Promotion inawakilishwa na wakili msomi, Herry Kauki wakati Hassan Mwakinyo kwa upande wa mdaiwa akiwakilishwa wakili msomi, Azad Athumani.

Chanzo: boxinghubtz

Pia soma:
- Hatimaye wakili wa Mwakinyo kafika mahakamani leo
- Kampuni ya PAF Promotion yampeleka Mahakamani Mwakinyo, yamdai fidia ya mamilioni
wakae chini wayamalize, maisha yaendelee. kijana aache jeuri na kibri na pia, apambane wakati anapigana apate elimu walau kidogo tu kwasababu exposure kidogo aliyoipata naona haijamsaidia, bado anabehave kama mtu wa tanga. angekuwa na akili angekuwa kwenye nafasi ya kuuza sana hata kwenye matangazo na biashara zingine. kwa wanaonielewa wamenielewa.
 
Back
Top Bottom