Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,539
Habari zenu wakuu ?
Kitambo sana sikuwepo jukwaani kutokana na sababu iliyokuwa nje ya uwezo wangu.
Hivyo wale washikaji zangu mliokuwa mkinitafuta au huwa na hofu juu ya kutoonekana kwangu niwaambie tu mimi ni mzima kabisa na sikupatwa na baya lolote.
Ahsanteni
Kitambo sana sikuwepo jukwaani kutokana na sababu iliyokuwa nje ya uwezo wangu.
Hivyo wale washikaji zangu mliokuwa mkinitafuta au huwa na hofu juu ya kutoonekana kwangu niwaambie tu mimi ni mzima kabisa na sikupatwa na baya lolote.
Ahsanteni