RC Chalamira Amewahi kuwaambia wenye makanisa na misikiti kwamba jamaa wa night club na bars walienda kuwashtaki kwake kwamba wanawapigia kelele wakiwa wamepumzika na hangover zao..Hakuleta malalamiko kuhusu msikiti wala kanisa,kuwa muelewa.A
RC Chalamira Amewahi kuwaambia wenye makanisa na misikiti kwamba jamaa wa night club na bars walienda kuwashtaki kwake kwamba wanawapigia kelele wakiwa wamepumzika na hangover zao..Hakuleta malalamiko kuhusu msikiti wala kanisa,kuwa muelewa.A
RC Chalamira Amewahi kuwaambia wenye makanisa na misikiti kwamba jamaa wa night club na bars walienda kuwashtaki kwake kwamba wanawapigia kelele wakiwa wamepumzika na hangover zao..
RC Chalamira Amewahi kuwaambia wenye makanisa na misikiti kwamba jamaa wa night club na bars walienda kuwashtaki kwake kwamba wanawapigia kelele wakiwa wamepumzika na hangover zao..
Dingi akoWewe sio muelewa,Uzi ni kuhusu Pub.Sio nyumba za ibada.Kilaza.
Ushauri wangu anzieni kwenye Serikali yenu ya mtaa (Halmashauri ya Mtaa, Mkutano wa Wakazi wote wa Mtaa) and then Baraza la Kata (WDC), mkishalijadili na kuliazimia jambo lenu hakuna atakayewazuia, hiyo Club itafungwa na 'mtaa yenu itakuwa' tulivu kama awali.Kwa niaba ya rafiki wangu huko Tanga na-share hii uzi
Barua wazi kwa mkuu wa mkoa tanga.
Mheshimiwa mkuu wa mkoa Tanga,
Ni kwa masikitiko makubwa tunakueletea malalamiko dhidhi ya club ya Ben Bistro hapa wilayani Tanga, kati ya mtaa wa Ekcenforde na ring - Guinea Street
Club hii iliyoanzishwa miaka miwili ilioypita inaendelea kututesa kwa kuleta mazingira ya mateso mengi sana kwa sisi tunaoishi kwenye maeneo haya! Tabia za kihuni kwa kucheza muziki hadi usiku wa manane pamoja na wateja wao kuhudumiwa pombe kwenye magari zao barabarani na kukutwa wamesinzia hadi asubuhi pamoja na kutoa huduma za shisha, wadada wanauza mwili zao pia wapo na kufanya mambo zao kwenye magari n.K asubuhi hukosi kuona machupa za pombe barabarani au kwenye mataro na ukuta zinanuka na mkojo.
Huo mtaa unatumika sana na wanafunzi wanaopita kuelekea mashule mengi zilizo jirani na huwa wanashuhudia haya mazingira kila siku. Pia kuna kanisa na misikiti mawili na waumini wengi nao wanashuhudia haya matatizo.
Siku ya jumamosi tarehe saba mwezi huu wamezuia mabarara nne za mitaa na kufunga jukwaa. Jumapili kuanzia saa 11 jioni wameanza tamasha ya bendi iliyoendelea hadi 12 alfajiri.
Mheshimiwa, sisi tulishindwa kupumzika kabisa maana kelele ilikuwa mkubwa mno na hadi vitu vya ndani, ufa n.K. Za manyumba zetu zilikuwa zinatetemeka.
Mara nyingi asubuhi waumini waonaoelekea msikitini wamekuta watu wameelewa na kulala juu ya meza, kwenye magari na chupa za pombe zimetupwa barabarani.
Mwenyekiti wa mtaa naye hataki kutusaidia na insemekana biashara zake ni kukodisha vifaa wa bendi na vilitumika siku hiyo. Mwenye hiyo biashara aitwaye beny nae inasemekana kuwa anafahamia na 'viongozi wa juu' na hakuna atakaemsumbua?
Je hii ni haki? Mtaa wetu miaka nenda nyuma ilikuwa na utulivu na heshima wa hali ya juu ila leo hii tunateseka sana.
Tafadhali angalia video hizi.
Mheshimiwa, tunakuomba utusaidie.
View attachment 2324800
View attachment 2324802
Kama vipi wasogezwe/wahamishwe kama wale wa loliondo ..manake Mr Beny ni mwekezaji na alipewa vibali vyote na mamlaka husika... na hiyo ndio tatizo la maendeleo,yakikufuata inabidi ubadirike nayo ..kwa mfano miaka 15-20 iliyopita nyumba nyingi za shekilango Rd zilikua ni makazi ya watu but with time wenyewe wamezigeuza shops,bars, garages, carwash, Fuel station,saloons, nightclubs na Bus stands..na automatically hakuna watu wanaishi nyumba hizo coz of noise pollution na vitu kama hivyo..na uking'ang'ania kuishi mitaa kama hiyo unakua unafanya hivyo at your own inconvenience..huu mtaa anaoulalamikia member mwenzetu naufahamu na nimetembelea twice, ni mtaa wa migahawa na starehe za evening outing. Na nyumba nyingi ni Mali ya shirika la nyumba la Taifa ( NHC) sasa usitegemee kulipa rent ya 45,000/ month halafu upate kelele za ndege na breezes za bahari ya Hindi.
Kwani maendeleo ni nini au ni yepi?Ndio maana hamuendelei.
Tanga ni mji mzuri sana sema umejaa mamwinyi.
Jamaa wavivu kufanya kazi.
Wanacheza BAO,drafti,dhumna,sijui kelamu na kunywa kahawa siku nzima wako chini ya mwembe.
Ndio maana mji haukui kwa Kasi eti unaitwa Jiji
Tanga ilipaswa kubaki kuwa manispaa kwanza
Maendeleo ni kunywa biaKwani maendeleo ni nini au ni yepi?
Tuanzie hapo kwanza
Mleta uzi Deshbhakt tafta sehemu,Maendeleo ni kunywa bia
POvvvuuuuuu kama loteMnasemaga hivyo hivyo..wakati dada zenu ndio wauza nyapu kwenye hizo pub.
Njoo kitambaa cheupe hapa upelekewe moto...huwezi zuia mabadiliko na maendeleo kisa illusions zako..kama ina uma chomoa au kavae suicide vest.
#MaendeleoHayanaChama
Halafu wewe choko usipende kudandia comment zangu,ma ina uma chomoa au kavae suicide vest.
Kama ina uma chomoa..Halafu wewe choko usipende kudandia comment zangu,
Kama kinyeo kinakuwasha ujue mimi nimeacha kuwachokonoa mabwabwa
Kama nyie nenda kwa padri au askofu akuoe kabisa
Bwabwa mukundu muchafu wewe
Mashoga bhna..kwahiyo wakihama hao mabasha wakukusugua mtaro utawapata wapi..kaa utulize kinyeo wanaume wafanye kazi zao.Tatizo na nyie mnan'gan'gania kukaa kwenye mji usio na maendeleo na wala hamuhami?
Hameni basi au rudini makwenu kwanini mnalazimisha hapo pasipo na maendeleo?
Wanafiki wakubwa
Tanga itaendelea kuwa ni ya watanga
Na iko siku