Hiyo barabara ilikuwa ijengwe kwa lami kuendeleza ile barabara ya Mbezi Kinyerezi. Kilichotokea sasa..... lami imepelekwa Kibamba Chama kwenda Kibwegere.Mbunge wa huko sijui ni nani, nasikia alihamisha lami kwenda kwake Kibamba badala ya barabara hiyo.