Baada ya Makalla kusema yuko tayari kwa Mdahalo dakika yoyote, CHADEMA wameingia Mitini!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
85,673
145,464
Baada tu ya Komredi Makala kutangazwa Kuwa Mwenezi mpya wa CCM Chama Kikuu Cha Upinzani kikasema Makala hauwezi kukubali kufanya mdahalo

Lakini wakati wa kupokelewa ofisini Lumumba Komredi Makala akatamba yuko tayari kwa mdahalo dakika yoyote ile

Tangu hapo Chadema hawajasikika tena wakizungumzia Mdahalo wa Tundu Antipas Lisu na Komredi Makala

Mlale Unono ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ”ฅ
 
Baada tu ya Komredi Makala kutangazwa Kuwa Mwenezi mpya wa CCM Chama Kikuu Cha Upinzani kikasema Makala hauwezi kukubali kufanya mdahalo

Lakini wakati wa kupokelewa ofisini Lumumba Komredi Makala akatamba yuko tayari kwa mdahalo dakika yoyote ile

Tangu hapo Chadema hawajasikika tena wakizungumzia Mdahalo wa Tundu Antipas Lisu na Komredi Makala

Mlale Unono ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ”ฅ
Tupe CV ya huyo article a.k.a MAKALA tumjue
 
Baada tu ya Komredi Makala kutangazwa Kuwa Mwenezi mpya wa CCM Chama Kikuu Cha Upinzani kikasema Makala hauwezi kukubali kufanya mdahalo

Lakini wakati wa kupokelewa ofisini Lumumba Komredi Makala akatamba yuko tayari kwa mdahalo dakika yoyote ile

Tangu hapo Chadema hawajasikika tena wakizungumzia Mdahalo wa Tundu Antipas Lisu na Komredi Makala

Mlale Unono ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ”ฅ
mtu anayesema GUGU badala ya google unajidhalilisha kuwenda kwenye dabate na mtu kama huyo!
eti nikagugu........
 
Baada tu ya Komredi Makala kutangazwa Kuwa Mwenezi mpya wa CCM Chama Kikuu Cha Upinzani kikasema Makala hauwezi kukubali kufanya mdahalo

Lakini wakati wa kupokelewa ofisini Lumumba Komredi Makala akatamba yuko tayari kwa mdahalo dakika yoyote ile

Tangu hapo Chadema hawajasikika tena wakizungumzia Mdahalo wa Tundu Antipas Lisu na Komredi Makala

Mlale Unono ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ”ฅ
Yaani wewe umelaani haswa, Makala ataongea kitu gani na Lissu? Nape pamoja na kwamba ni mwizi lakini anaweza kujenga hoja ila siyo Makala
 
Baada tu ya Komredi Makala kutangazwa Kuwa Mwenezi mpya wa CCM Chama Kikuu Cha Upinzani kikasema Makala hauwezi kukubali kufanya mdahalo

Lakini wakati wa kupokelewa ofisini Lumumba Komredi Makala akatamba yuko tayari kwa mdahalo dakika yoyote ile

Tangu hapo Chadema hawajasikika tena wakizungumzia Mdahalo wa Tundu Antipas Lisu na Komredi Makala

Mlale Unono ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ”ฅ
Akili zako unazijua mwenyewe . Uende kwenye mdahalo na wauwaji?

IMG-20240417-WA0038.jpg
 
Back
Top Bottom