B.O.T fedha za sarafu ziko kwenye ma kamali ya wachina

Kwahiyo bei ya vitu itaanzia 500? Hakutakuwa na nyanya za 200? Hii haitasababisha mfumuko wa bei? Au uchumi ndio utaonekana umekua?
Tusubiri BoT watatukausha damu wallah....tusubiri wameshatoa public notice juu hilo...
 
Nchi iliyofeli kuwapa watu ajira, kamari inageuka kuwa ajira rasmi.
 
Back
Top Bottom