Azam fukuzeni magarasa wote kama mnataka kufanikiwa

oladipo

JF-Expert Member
Mar 8, 2022
1,481
2,389
Watu wengi wamekuwa wakiwashutumu viongozi wa azam na benchi la ufundi kutokana na matokeo mabovu

Lakini tukae tukijua tatizo la azam sio viongozi wala benchi la ufundi. Tatizo kuu la azam ni WACHEZAJI! Wasiojitambua wameletewa makocha wengi mno lakini matokeo yamekuwa yaleyale

Sasa ni wakati wa kuanza kufukuza wachezaji mizigo wasiotambua wajibu wakianza na yahya zaidi ambae yupo azam almost miaka 8 lakini amekuwa yule yule wa siku zote hana maajabu yoyote

Wengine ni

Idris mbombo: hyu jamaa naona amekuja azam kula pensheni naona hadi kitambi kinamtoka ila uwanjani ni sifuri

Mabeki wote wa kulia na kushoto fukuza wote hawana jipya wanacheza mpira wa kizamani hawajui chochote kuhusu ku over lap wanacheza kizamani mno

Kipre junior hyu nae ana mambo mengi uwanjani kiasi kwamba anasahau kazi yake ya msingi uwanjani ni ipi hyu nae awekwe chini ya uangilizi akiahindwa kubadilika afukuzwe tu

Feisal salum amenenepa mno kiasi kwamba majukumu yake ya msingi yanamshinda. Kocha kajaribu hadi kumuhamisha namba lakini wapi!


Jibril silah hyu jamaa ni garasa la mwaka hawezi chochote kukaba hawez,i kupiga chenga hawezi, mzito sana kwa kifupi jamaa ni garasa hyu anapaswa kuwa wa kwanza kuonyeshwa mlango wa kutokea.

Kipa ahmad huyu nae ni mzigo atimuliwe idris aendelee kupewa muda km atabadilika na kuacha kufanya makosa ya kizembe

Dogo foba aonyeshwe mlango wa kutokea coz ni mzigo miaka sita yupo azam anapewa kila kitu ikiwemo proper training lakini amebaki yule yule wa siku zote hana maajabu

HITIMISHO: Azam bila kufanya maamuzi magumu siku zote itabaki kuwa msindikizaji kwenye michuano yoyote inayoshiriki
 
Watu wengi wamekuwa wakiwashutumu viongozi wa azam na benchi la ufundi kutokana na matokeo mabovu

Lakini tukae tukijua tatizo la azam sio viongozi wala benchi la ufundi. Tatizo kuu la azam ni WACHEZAJI! Wasiojitambua wameletewa makocha wengi mno lakini matokeo yamekuwa yaleyale

Sasa ni wakati wa kuanza kufukuza wachezaji mizigo wasiotambua wajibu wakianza na yahya zaidi ambae yupo azam almost miaka 8 lakini amekuwa yule yule wa siku zote hana maajabu yoyote

Wengine ni

Idris mbombo: hyu jamaa naona amekuja azam kula pensheni naona hadi kitambi kinamtoka ila uwanjani ni sifuri

Mabeki wote wa kulia na kushoto fukuza wote hawana jipya wanacheza mpira wa kizamani hawajui chochote kuhusu ku over lap wanacheza kizamani mno

Kipre junior hyu nae ana mambo mengi uwanjani kiasi kwamba anasahau kazi yake ya msingi uwanjani ni ipi hyu nae awekwe chini ya uangilizi akiahindwa kubadilika afukuzwe tu

Feisal salum amenenepa mno kiasi kwamba majukumu yake ya msingi yanamshinda. Kocha kajaribu hadi kumuhamisha namba lakini wapi!


Jibril silah hyu jamaa ni garasa la mwaka hawezi chochote kukaba hawez,i kupiga chenga hawezi, mzito sana kwa kifupi jamaa ni garasa hyu anapaswa kuwa wa kwanza kuonyeshwa mlango wa kutokea.

Kipa ahmad huyu nae ni mzigo atimuliwe idris aendelee kupewa muda km atabadilika na kuacha kufanya makosa ya kizembe

Dogo foba aonyeshwe mlango wa kutokea coz ni mzigo miaka sita yupo azam anapewa kila kitu ikiwemo proper training lakini amebaki yule yule wa siku zote hana maajabu

HITIMISHO: Azam bila kufanya maamuzi magumu siku zote itabaki kuwa msindikizaji kwenye michuano yoyote inayoshiriki
Hii timu imetanguliza udini Sana kuliko kazi....!!
 
Hayo matatizo yote yanatokana na kuwa na kocha mbovu pamoja na uongozi. Azam kama timu kitengo cha rasilimali watu hawajatekeleza majukumu yao ipasavyo kwa ku recruit watu wasio sahihi. Kwa hiyo hata wakitoa wachezaji wote na kuleta wengine bado kwenye uongozi kuna shida kwa iyo tatizo litakuwa palepale.
 
Kinacho igharim Azam nazan ni mentality ya Viongozi walionao bado wengi wao wanamapenzi na timu zao mama... Nazan Azam kama wakiamua kuondoa uongoz wote na wakaanza upya kwa kwenda nchi jiran kama Kenya, Zambia na kwengineko wakaleta watu professional katika soka... Nawapa miaka miwil mpaka mitano watakuwa dominant kwa soka la Bongo ila wakiendelea hvi hv hata walete Guadiola na bench lake bado watakuwa walewale AZAM
 
Hayo matatizo yote yanatokana na kuwa na kocha mbovu pamoja na uongozi. Azam kama timu kitengo cha rasilimali watu hawajatekeleza majukumu yao ipasavyo kwa ku recruit watu wasio sahihi. Kwa hiyo hata wakitoa wachezaji wote na kuleta wengine bado kwenye uongozi kuna shida kwa iyo tatizo litakuwa palepale.
Hii ya makocha wabovu mi naikataa tokea 2018 azam imefundishwa na makocha takribani tisa! Ina maana wote hao ni wabovu?
.Tatizo la azam ni kuwadekeza mno wachezaji hii inapelekea wachezaji kutojituma uwanjani
.
Kwa sababu wanajua hta wakifanya vibaya mishahara yao ipo pale pale na kufukuzwa atafukuzwa kocha
 
Kinacho igharim Azam nazan ni mentality ya Viongozi walionao bado wengi wao wanamapenzi na timu zao mama... Nazan Azam kama wakiamua kuondoa uongoz wote na wakaanza upya kwa kwenda nchi jiran kama Kenya, Zambia na kwengineko wakaleta watu professional katika soka... Nawapa miaka miwil mpaka mitano watakuwa dominant kwa soka la Bongo ila wakiendelea hvi hv hata walete Guadiola na bench lake bado watakuwa walewale AZAM
Jamani! Kwani viongozi ndio wanaocheza mpira?

Kwa io unataka kuniambia viongozi ndio wanaowaambia wachezaji wajifungishe makusudi?

Tukubali tukatae tatizo la azam ni wachezaji wasiojitambua hawajui thamani yao wawapo uwanjani.
 
Wewe Uchungu unautoa Wapi??kwani unachochote unagharamika Kwa namna yoyote ile Hadi uanze kuwapangia watu na vyao namna ya kufanya na wenye vyao wako kimya wala hawana Shida!!Huna aibu Dogoo,,,jitahidi Sana kufanya yako yanayohusu na yenye mustakabali wa maisha yako,,,Acha upuuzi na kuumizwa na ya watu ambayo hayakusaidii chochote kwenye yako!!
 
Hii ya makocha wabovu mi naikataa tokea 2018 azam imefundishwa na makocha takribani tisa! Ina maana wote hao ni wabovu?
.Tatizo la azam ni kuwadekeza mno wachezaji hii inapelekea wachezaji kutojituma uwanjani
.
Kwa sababu wanajua hta wakifanya vibaya mishahara yao ipo pale pale na kufukuzwa atafukuzwa kocha
Mb9na walishawatoa wachezaji wao muhimu kipindi cha nyuma na nado hiyo imeshindikana. Kina Bocco, Manula, Sureboy, Mudathir, Gadiel lakini bado tatizo liko palepale
 
Wewe Uchungu unautoa Wapi??kwani unachochote unagharamika Kwa namna yoyote ile Hadi uanze kuwapangia watu na vyao namna ya kufanya na wenye vyao wako kimya wala hawana Shida!!Huna aibu Dogoo,,,jitahidi Sana kufanya yako yanayohusu na yenye mustakabali wa maisha yako,,,Acha upuuzi na kuumizwa na ya watu ambayo hayakusaidii chochote kwenye yako!!
Na wewe huo uchungu wa kunijibu umeutoa wapi? Au nimekuita hapa
 
Mb9na walishawatoa wachezaji wao muhimu kipindi cha nyuma na nado hiyo imeshindikana. Kina Bocco, Manula, Sureboy, Mudathir, Gadiel lakini bado tatizo liko palepale
Yote kwa yote kukosa uwajibikaji kwa wachezaji wa azam ndio tatizo la msingi la azam
 
Singida wamefanya sajili nzur kuliko Azam.
Azam sio team ni uchafuu.
Fool kabisaa wanatia hasira dadek.
 
Kinacho igharim Azam nazan ni mentality ya Viongozi walionao bado wengi wao wanamapenzi na timu zao mama... Nazan Azam kama wakiamua kuondoa uongoz wote na wakaanza upya kwa kwenda nchi jiran kama Kenya, Zambia na kwengineko wakaleta watu professional katika soka... Nawapa miaka miwil mpaka mitano watakuwa dominant kwa soka la Bongo ila wakiendelea hvi hv hata walete Guadiola na bench lake bado watakuwa walewale AZAM
Waende Morocco hizo nchi jirani ni rahisi kuwaingiza kwenye siasa za Simba na yanga.
 
Back
Top Bottom