Watu wengi wamekuwa wakiwashutumu viongozi wa azam na benchi la ufundi kutokana na matokeo mabovu
Lakini tukae tukijua tatizo la azam sio viongozi wala benchi la ufundi. Tatizo kuu la azam ni WACHEZAJI! Wasiojitambua wameletewa makocha wengi mno lakini matokeo yamekuwa yaleyale
Sasa ni wakati wa kuanza kufukuza wachezaji mizigo wasiotambua wajibu wakianza na yahya zaidi ambae yupo azam almost miaka 8 lakini amekuwa yule yule wa siku zote hana maajabu yoyote
Wengine ni
Idris mbombo: hyu jamaa naona amekuja azam kula pensheni naona hadi kitambi kinamtoka ila uwanjani ni sifuri
Mabeki wote wa kulia na kushoto fukuza wote hawana jipya wanacheza mpira wa kizamani hawajui chochote kuhusu ku over lap wanacheza kizamani mno
Kipre junior hyu nae ana mambo mengi uwanjani kiasi kwamba anasahau kazi yake ya msingi uwanjani ni ipi hyu nae awekwe chini ya uangilizi akiahindwa kubadilika afukuzwe tu
Feisal salum amenenepa mno kiasi kwamba majukumu yake ya msingi yanamshinda. Kocha kajaribu hadi kumuhamisha namba lakini wapi!
Jibril silah hyu jamaa ni garasa la mwaka hawezi chochote kukaba hawez,i kupiga chenga hawezi, mzito sana kwa kifupi jamaa ni garasa hyu anapaswa kuwa wa kwanza kuonyeshwa mlango wa kutokea.
Kipa ahmad huyu nae ni mzigo atimuliwe idris aendelee kupewa muda km atabadilika na kuacha kufanya makosa ya kizembe
Dogo foba aonyeshwe mlango wa kutokea coz ni mzigo miaka sita yupo azam anapewa kila kitu ikiwemo proper training lakini amebaki yule yule wa siku zote hana maajabu
HITIMISHO: Azam bila kufanya maamuzi magumu siku zote itabaki kuwa msindikizaji kwenye michuano yoyote inayoshiriki
Lakini tukae tukijua tatizo la azam sio viongozi wala benchi la ufundi. Tatizo kuu la azam ni WACHEZAJI! Wasiojitambua wameletewa makocha wengi mno lakini matokeo yamekuwa yaleyale
Sasa ni wakati wa kuanza kufukuza wachezaji mizigo wasiotambua wajibu wakianza na yahya zaidi ambae yupo azam almost miaka 8 lakini amekuwa yule yule wa siku zote hana maajabu yoyote
Wengine ni
Idris mbombo: hyu jamaa naona amekuja azam kula pensheni naona hadi kitambi kinamtoka ila uwanjani ni sifuri
Mabeki wote wa kulia na kushoto fukuza wote hawana jipya wanacheza mpira wa kizamani hawajui chochote kuhusu ku over lap wanacheza kizamani mno
Kipre junior hyu nae ana mambo mengi uwanjani kiasi kwamba anasahau kazi yake ya msingi uwanjani ni ipi hyu nae awekwe chini ya uangilizi akiahindwa kubadilika afukuzwe tu
Feisal salum amenenepa mno kiasi kwamba majukumu yake ya msingi yanamshinda. Kocha kajaribu hadi kumuhamisha namba lakini wapi!
Jibril silah hyu jamaa ni garasa la mwaka hawezi chochote kukaba hawez,i kupiga chenga hawezi, mzito sana kwa kifupi jamaa ni garasa hyu anapaswa kuwa wa kwanza kuonyeshwa mlango wa kutokea.
Kipa ahmad huyu nae ni mzigo atimuliwe idris aendelee kupewa muda km atabadilika na kuacha kufanya makosa ya kizembe
Dogo foba aonyeshwe mlango wa kutokea coz ni mzigo miaka sita yupo azam anapewa kila kitu ikiwemo proper training lakini amebaki yule yule wa siku zote hana maajabu
HITIMISHO: Azam bila kufanya maamuzi magumu siku zote itabaki kuwa msindikizaji kwenye michuano yoyote inayoshiriki