johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 90,312
- 156,760
Askofu Gwajima amewaambia wafuasi wake katika semina inayoendelea kanisani kwake kwamba wazipuuze taarifa zinazoenea mitandaoni kwamba yeye amechanjwa chanjo ya Corona.
Wapo wanaowaaminisha watu kuwa wamechanjwa na chanjo haijawaathiri kumbe wamechanjwa chanjo feki ili kuwashawishi watu wachanjwe" Askofu Josephat Gwajima
Gwajima amesema yeye hajachanjwa na haitatokea achanjwe.
Chanzo: Semina kanisani kwake
VIPANDE:
Safari hii watu watakufa kama mende
Sisi hatuchanjwi, tutaishi na Corona
Ni CHANJO FEKI, watakufa
Wapo wanaowaaminisha watu kuwa wamechanjwa na chanjo haijawaathiri kumbe wamechanjwa chanjo feki ili kuwashawishi watu wachanjwe" Askofu Josephat Gwajima
Gwajima amesema yeye hajachanjwa na haitatokea achanjwe.
Chanzo: Semina kanisani kwake
VIPANDE:
Safari hii watu watakufa kama mende
Sisi hatuchanjwi, tutaishi na Corona
Ni CHANJO FEKI, watakufa