Sijawahi kuanzisha uzi hapa lakini baada ya kusikiliza clip ya Gwajima jana nilikereka sana na uongo wake.
Hakuna Shirika linaitwa emergency drug authorization USA kuna FDA Food and Drug Administration sio Flag and Drug Administration na ndio Regulatory Authority pekee ya vaccine drug and food na hao ndio waliotoa emergency use authorization ya Pfizer and Moderna vaccine.
Ukiangalia kwa makini utaona nchi nyingi duniani zimefanya utafiti na nyingine zinaendelea na utafiti lengo ni kuokoa maisha ya watu wao huyu Askofu alipinga chanjo kanisani kwake akiziita ni mpinga kristo jambo ambalo si la kweli kabisa.
Hivi huyu Gwajima na Mbowe nani ni akili kubwa? Mbowe ana uelewa mkubwa sana ndio maana alichanjwa na kukiri baada ya kusoma wafatiti wanasemaje na uasilia wa maendeleo ya program ya vaccination dunia nzima tafiti zinapingwa na tafiti sio uropokaji.
Anasema FDA haijauthorize chanjo wakati si kweli FDA ndio imetoa emergency authorization ya vaccination ya Pfizer na Moderna vaccines.
Ukiangalia mitandaoni watu wengi wanamsupport sababu elimu ya Corona vaccine TZ bado ni ndogo sana wataalam wana kazi kubwa ya kuwaeleza wananchi umuhimu wa corona vaccine sio kupotosha kama Gwajima.
Gwajima alisema kanisani kwake 5G technology inasambaza corona sio kweli kabisa nchi nyingi pamoja na TZ zina corona lakini hazina 5G technology.
Anasema corona vaccine imeharakishwa sawa ni kweli kutokana na maendeleo ya technology na hii golden age ya vaccinology ni kupongeza wataalam na tafiti za mRNA zilianza toka milipuko ya SARS na MERS viruses hatuwezi kuacha millions ya watu wanakufa kisa technology ya zamani ili chukuwa 8 years.
Utaalam wa corona awaachie virologists epidiomogists watafiti na madoctors yeye achunge kondoo wake na kuongea uongo uko sio bungeni.
Hakuna Shirika linaitwa emergency drug authorization USA kuna FDA Food and Drug Administration sio Flag and Drug Administration na ndio Regulatory Authority pekee ya vaccine drug and food na hao ndio waliotoa emergency use authorization ya Pfizer and Moderna vaccine.
Ukiangalia kwa makini utaona nchi nyingi duniani zimefanya utafiti na nyingine zinaendelea na utafiti lengo ni kuokoa maisha ya watu wao huyu Askofu alipinga chanjo kanisani kwake akiziita ni mpinga kristo jambo ambalo si la kweli kabisa.
Hivi huyu Gwajima na Mbowe nani ni akili kubwa? Mbowe ana uelewa mkubwa sana ndio maana alichanjwa na kukiri baada ya kusoma wafatiti wanasemaje na uasilia wa maendeleo ya program ya vaccination dunia nzima tafiti zinapingwa na tafiti sio uropokaji.
Anasema FDA haijauthorize chanjo wakati si kweli FDA ndio imetoa emergency authorization ya vaccination ya Pfizer na Moderna vaccines.
Ukiangalia mitandaoni watu wengi wanamsupport sababu elimu ya Corona vaccine TZ bado ni ndogo sana wataalam wana kazi kubwa ya kuwaeleza wananchi umuhimu wa corona vaccine sio kupotosha kama Gwajima.
Gwajima alisema kanisani kwake 5G technology inasambaza corona sio kweli kabisa nchi nyingi pamoja na TZ zina corona lakini hazina 5G technology.
Anasema corona vaccine imeharakishwa sawa ni kweli kutokana na maendeleo ya technology na hii golden age ya vaccinology ni kupongeza wataalam na tafiti za mRNA zilianza toka milipuko ya SARS na MERS viruses hatuwezi kuacha millions ya watu wanakufa kisa technology ya zamani ili chukuwa 8 years.
Utaalam wa corona awaachie virologists epidiomogists watafiti na madoctors yeye achunge kondoo wake na kuongea uongo uko sio bungeni.