Askari anayetuhumiwa kuingiliwa asomewa mashtaka, akana sio yeye kwenye video

Dah aibu na hatari juu
Hivi yeye haifurahii K jaman hadi na yeye atumie mlango wa nyuma?
Apate stahili yake kama yule wa mtwara
Yule wa mtwara alikosa wakili pia hakujua kujitetea.
Case ya ushoga ikikutana na mtuhumiwa mwenye akili na anayejua sheria hafungwiiii kamweee.

Wawaokote hawa hawa wasio jitambuaaa,

Mbna mabasha hawakamatwi? Sasa case itaendeshwa vipi hapo? Lol
 
Hiví Kama alileweshwa na raia wabaya Kisha kurikodi Lile tukio na kulosambaza mitandaoni Nani atafuatilia Haki yake?

Huyo Basha alikua anamwingilia Nyuma yeye yupo Wapi?

Kwani Sheria inaruhusu MTU kufira lakini inakataza kufirwa .?
Ukijibiwa nitag.
Sheria inapindishwaa tyuuh, kwani wana walaghai wananchi, hata mtwara ile ni danganya toto atatolewa nje soon.
 

Afande hafungwi, kwanza nataka nwakani niingie class kupiga Degree ya Sheria, kuna kundi linaonewa hapaaa.

Nataka kuwa wakili upande wa Afandee. Yaan nataman mnoo niwaoneshe mahakama namna case ya ushoga inaendeshwa.

Dadekiiiiii
 
Back
Top Bottom