Wiki iliyopita, APR FC🇷🇼 iliuliza kiasi cha fedha ambacho Yanga SC🇹🇿 wanaweza kupokea kwa ajili ya kumuachilia Stephane Aziz Ki🇧🇫 anayecheza eneo la kati, wakajibu kwamba watapokea si chini ya dola milioni moja ($1M) , ambayo ni zaidi ya 1,000 .000.000 Frw (Uliza kwa sarafu ya Rwanda)
So far kuna team kama 8 zote kwa aziz.
1, Wydad, Pirates, Kaizer, Sundowns, Simba, Azam, APR, al ahly,
So far kuna team kama 8 zote kwa aziz.
1, Wydad, Pirates, Kaizer, Sundowns, Simba, Azam, APR, al ahly,