cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 87,184
- 140,139
Upo km mie yaan,Browser habari za kubonyeza next na ukitaka kurudi mwanzo lazima urud had page ya kwanza vinanikwaza mnoo.
Halafu hata mpangilio wake haunivutii hata robo naona siku app ikifa na mimi ndo utakua mwsho wa kutumia jf