Jf Moderators app yangu hainipi notifications nimeifuta nimeweka upya bado ni vile vile
Hasa kwenye Zile nilizo subscription sipati kabisa
 
Salaam.
Kwa mwenye kujua tatizo hili naomba anieleweshe, mimi natumia jamii forum app, lakini Kuna tatizo la kutokufunguka kwa picha, unafanyaje kutatua changamoto hii?.
Hilo naona ni tatizo la kudumu JF inazidiwa na app ya Mange kimambi.
 
Naam wakuu,

Kwa mara nyingine tumeona tuboreshe huduma ya JF ili izidi kuwa rahisi kutumia.

Kwa sasa unaweza ku-Install JF App kwa PC au Tablet (iPad zikiwemo) na Simu za Mkononi (Android na iPhones).

FAIDA:

1) Ni rahisi kutumia na haina tofauti yoyote na main site, hakutakuwa na malalamiko tena kuwa kuna kukosa notifications au kushindwa kufanya actions kadhaa

2) Ni rahisi kufunguka kuliko unavyodhania. Installation yake inachukua sekunde moja au pungufu. Haichukui space kwenye simu yako au kifaa chako

3) Ukiwa offline, bado kuna content utakuwa na access nayo kwa urahisi zaidi. Hulazimiki kuwa mtandaoni

4) na mengine mengi

Hatua za kufuata:

Kwa wanaotumia PC:

Tembelea JF kwa kutumia Google Chrome Browser, kisha utaona sehemu kama hii kwenye browser yako:

View attachment 1791283

View attachment 1791292

Kisha bonyeza Install kama inavyoonekana hapa chini:

View attachment 1791284

Utaona tayari unayo App kwenye PC yako. Kuanzia hapo hutokuwa ukilazimika kutembelea tovuti kwa njia ya browsing ya kawaida.

Mfano, mwenye Macbkook ataona icon ya App ya JF ikiwa hivi:

View attachment 1791290

Kwa wanaotumia Android Devices:

Tumia Google Chrome (au native browser ya simu yako):

Bonyeza mistari mitatu iliyo kushoto mwa LOGO ya JamiiForums, utaona kitu kama hiki chini:

View attachment 1791285

View attachment 1791286

Bonyeza INSTALL kisha utaona hivi (itachukua sekunde 1 ku-Install)

View attachment 1791287

Kwa wanaotumia iPhone au iOS devices:

Tumia Safari Browser, bonyeza sehemu hizi zilizozungushiwa na fuata maelekezo kwenye simu... Just add to your device's home screen.

View attachment 1791288
View attachment 1791289

Ukikwama usisite kuuliza, tupo kwa ajili yako.

TAKE NOTE: Siku zijazo (sio karibuni) tutaondoa App zilizopo kwenye Google na Apple stores. Kuna mabadiliko zaidi yanakuja kwenye mwonekano na user experience katika kutumia huduma ya JF.

PS: Kuna watu wanataka kujua kuhusu kupata notifications. Tafadhali enable push notifications kwenye settings na utazipata bila shaka.

Karibuni
Changamoto iliyopo kwasasa ni kuwa sipati notifications kabisa, hata niki set on notifications Alert au niki update JF App
 
Hilo naona ni tatizo la kudumu JF inazidiwa na app ya Mange kimambi.
Huyu jamaa kachokonoa hii app hadi imekua yakisoro.ile ladha yote imeondoka na hawarekebishi makusudi.JF ilikua zamani siku hizi hakuna kitu.
 
Hii App au Android App?

Kama ni hii, iondoe na iweke tena utaona kila kitu kiko sorted na hata some minor changes
Kwanini app hairusu kutumia fonts ambazo sawa sawa na unayotumia kwenye simu? App ya awali niliyokuwa naitumia ilikuwa inaenda sawa sawa na fonts yangu ya kwenye simu ila tokea ni update imekuwa haipo tena hivyo.
 
Hii App au Android App?

Kama ni hii, iondoe na iweke tena utaona kila kitu kiko sorted na hata some minor changes
Boss kama hii JF app hamtaki kuiboresha basi itoeni kabisa isifanye kazi. This app is messing up too much!!

Mara ya kwanza ilikua haifungui picha lakn saiz haifungui pic, hailet notifications na kibaya zaid ukiscroll down haitaki. Yan mfano thread ina comments 100, ukifika comment ya 45 ukiscroll inagoma inakua inarudia ile ile comment ya 45.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Max hii sio App ni kuperuzi JF kutumia browser..........Sio user friendly

Naamini JF ni taasisi kubwa haiwezi kushindwa ku ran App kiufanisi kama akina Mange kimambi, Milard Ayo app nk
 
Back
Top Bottom