LENGISHO
Senior Member
- Sep 15, 2017
- 169
- 245
Kuna dalili Kuwa Yanga ikaenda kupasuka pasuka , hii n baada ya Video iliyorekodiwa na Nugazi na mashabiki wa Yanga. Video hyo inasikika sauti ikidai kuwa Msukule wa Simba wamemchukua ( Ifahamike kuwa hakuna biashara ya mchezaji au kocha yeyote aliyetoka simba kwenda Yanga) mtu pekee aliyeenda Yanga ni Aliyekuwa msemaji wa Simba Sc ndugu HAJJI SUNDAY MANARA
Sasa kwa kauli hii kuna uwezekano kukatokea mpasuko mkubwa sana yanga ... Team NUGAZ vs TEAM MANARA
Sasa kwa kauli hii kuna uwezekano kukatokea mpasuko mkubwa sana yanga ... Team NUGAZ vs TEAM MANARA