ANGALIZO MUHIMU: Baada ya Kuzidondosha 3 leo, ili Kutudhoofisha Simba SC huu Mkakati wa Kimafia utatumika hivyo tuwe makini

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
57,115
110,509
Najua kuwa kwa sasa kama Simba SC Kesho haitotuangusha Mashabiki wake huko Mkoani Mbeya na Kushinda basi rasmi Pengo ( Gap ) litakuwa ni la Alama ( Points ) Tatu.

Huku wakiwa Wanaiogopa Simba SC Kimoyomoyo japo Nyusoni mwao huwa Wanaidharau na Kuicheka ili Waidhoofishe Simba SC na wasiendelee Kushinda na Pengo ( Gap ) kuendelea au kubakia kuwa hilo hilo la Alama ( Points ) Tatu lifuatalo litafanyika na GENTAMYCINE naliona kwakuwa najua Michezo ya Hatari na ya Kimafia ya Soka la Bongo ( Tanzania )

Ni kwamba kuanzia sasa Timu zote ambazo zitakutana / zitacheza na Simba SC kwa kuanzia na ya Kesho ya Prisons FC Wachezaji wa Simba SC ( hasa hasa wale Tegemezi ) Watahongwa na Waliodondosha Alama ( Points ) Tatu leo ili Timu yetu iwe dhaifu na ama ianze kutoka Sare au hata Kufungwa nayo ili iangushe Alama na tuwe nao sawa na tusichekane / tusiwacheke.

Hivyo basi kwa hili ANGALIZO LANGU MUHIMU niuombe Uongozi wa Simba SC, Benchi la Ufundi na hasa hasa Wachezaji wa Simba SC kuchukua TAHADHARI hii mapema mno, Kujiandaa nayo na kuwa Makini kwani ni Mkakati ambao utatumika / utatumiwa na Maadui zetu ( Wazee wa Kudondosha Alama Mbarali ) ili Simba SC wanayoihofia ama iwe inatoka Sare au hata iwe inafungwa kabisa.

Kazi Kwenu Simba SC. Asante Ihefu FC.
 
Najua kuwa kwa sasa kama Simba SC Kesho haitotuangusha Mashabiki wake huko Mkoani Mbeya na Kushinda basi rasmi Pengo ( Gap ) litakuwa ni la Alama ( Points ) Tatu...
Kesho bahasha lazima itatangazwa kwa Prisons. Kwamba Ni motisha kutoka kwa wapenzi wa mpira mkoani Mbeya.
 
Najua kuwa kwa sasa kama Simba SC Kesho haitotuangusha Mashabiki wake huko Mkoani Mbeya na Kushinda basi rasmi Pengo ( Gap ) litakuwa ni la Alama ( Points ) Tatu...
Kesho Simba anashinda Kwa matokeo ya kuanzia goli tatu,hivyo wazee wa mikeka tunaweka Simba win and over 2.5

We kalia majungu tu hapo
Screenshot_20231004-202752~2.png
 
Wale magereza waliofungwa nakitayose.....kesho watakufa holi 8.na madunduka watakua juu kwa magoli na alama.
 
Kwani prison akishinda ndio itakua mara ya kwanza kumfunga Simba!! Au Prison wao hawaitaji kushinda mpaka wapewe fedha?
Acheni mchecheto kachezeni mpira.
 
Najua kuwa kwa sasa kama Simba SC Kesho haitotuangusha Mashabiki wake huko Mkoani Mbeya na Kushinda basi rasmi Pengo ( Gap ) litakuwa ni la Alama ( Points ) Tatu.

Huku wakiwa Wanaiogopa Simba SC Kimoyomoyo japo Nyusoni mwao huwa Wanaidharau na Kuicheka ili Waidhoofishe Simba SC na wasiendelee Kushinda na Pengo ( Gap ) kuendelea au kubakia kuwa hilo hilo la Alama ( Points ) Tatu lifuatalo litafanyika na GENTAMYCINE naliona kwakuwa najua Michezo ya Hatari na ya Kimafia ya Soka la Bongo ( Tanzania )

Ni kwamba kuanzia sasa Timu zote ambazo zitakutana / zitacheza na Simba SC kwa kuanzia na ya Kesho ya Prisons FC Wachezaji wa Simba SC ( hasa hasa wale Tegemezi ) Watahongwa na Waliodondosha Alama ( Points ) Tatu leo ili Timu yetu iwe dhaifu na ama ianze kutoka Sare au hata Kufungwa nayo ili iangushe Alama na tuwe nao sawa na tusichekane / tusiwacheke.

Hivyo basi kwa hili ANGALIZO LANGU MUHIMU niuombe Uongozi wa Simba SC, Benchi la Ufundi na hasa hasa Wachezaji wa Simba SC kuchukua TAHADHARI hii mapema mno, Kujiandaa nayo na kuwa Makini kwani ni Mkakati ambao utatumika / utatumiwa na Maadui zetu ( Wazee wa Kudondosha Alama Mbarali ) ili Simba SC wanayoihofia ama iwe inatoka Sare au hata iwe inafungwa kabisa.

Kazi Kwenu Simba SC. Asante Ihefu FC.
We jamaa ni halali kabisa kuendelea kuitwa popoma
 
Najua kuwa kwa sasa kama Simba SC Kesho haitotuangusha Mashabiki wake huko Mkoani Mbeya na Kushinda basi rasmi Pengo ( Gap ) litakuwa ni la Alama ( Points ) Tatu.

Huku wakiwa Wanaiogopa Simba SC Kimoyomoyo japo Nyusoni mwao huwa Wanaidharau na Kuicheka ili Waidhoofishe Simba SC na wasiendelee Kushinda na Pengo ( Gap ) kuendelea au kubakia kuwa hilo hilo la Alama ( Points ) Tatu lifuatalo litafanyika na GENTAMYCINE naliona kwakuwa najua Michezo ya Hatari na ya Kimafia ya Soka la Bongo ( Tanzania )

Ni kwamba kuanzia sasa Timu zote ambazo zitakutana / zitacheza na Simba SC kwa kuanzia na ya Kesho ya Prisons FC Wachezaji wa Simba SC ( hasa hasa wale Tegemezi ) Watahongwa na Waliodondosha Alama ( Points ) Tatu leo ili Timu yetu iwe dhaifu na ama ianze kutoka Sare au hata Kufungwa nayo ili iangushe Alama na tuwe nao sawa na tusichekane / tusiwacheke.

Hivyo basi kwa hili ANGALIZO LANGU MUHIMU niuombe Uongozi wa Simba SC, Benchi la Ufundi na hasa hasa Wachezaji wa Simba SC kuchukua TAHADHARI hii mapema mno, Kujiandaa nayo na kuwa Makini kwani ni Mkakati ambao utatumika / utatumiwa na Maadui zetu ( Wazee wa Kudondosha Alama Mbarali ) ili Simba SC wanayoihofia ama iwe inatoka Sare au hata iwe inafungwa kabisa.

Kazi Kwenu Simba SC. Asante Ihefu FC.
kwani ule mgogoro wa wachezaji wa simba na kocha umekwisha?
 
Nilisema Jana na tayari Mpango umeshasetiwa usiku kuamkia mechi ya Simba.

Kwanini Ni mechi za Simba pekee?

Bahasha!
Screenshot_20231005-073757.jpg
 
Hiyo ya wachezaji wa Simba kuhongwa nakataa. Kwa zama hizi siamini kama kuna mchezaji wa hizi timu mbili kubwa Simba na Yanga anaweza kukubali kuhongwa na timu pinzani. Wa kuhongwa ni hawa wachezaji wa timu ndogo ndogo.

Hapo hujuma sana sana ni kwa hizi timu ndogo kupewa bahasha ili wakaze na marefa kuhongwa. Lakini hilo la wachezaji kuhongwa unawatengenezea tu mgogoro iwapo itatokea kwa bahati mbaya mchezaji kafungisha au kakosa magoli ya wazi.
 
Back
Top Bottom