Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 75,016
- 156,381
Andre Rene Roussimoff ni mwanamieleka wa kfaransa na pia ni muigizaji
Amezaliwa mwaka 1946 na amefariki mwaka 1993
Huyu bwana anashikilia rekodi ya dunia kwa kunywa bia 119 ndani ya masaa sita tu..... Tunaweza kusema kila baada ya dakika 3 amekunywa bia moja bila kupumzika
Pia vyanzo vyengine vinasema amekunywa bia 153 bila kupumzika
Lakini mpaka sasa Hakuna mtu yoyote aliyefanikiwa kunywa bia nyingi kiasi hicho kwa wakati mmoja
Mtag bingwa wa kupiga bia hapa JamiiForums