Andika neno lolote chungu, zito, lenye maumivu ambalo hautakujaa kusahau mtu alikutamkia

Lupamba's grandson

JF-Expert Member
Jan 9, 2015
1,232
1,192
Habarini wapendwa.

Leo nimekaa nikawa nimepitia. Insta nikaona x kapost picha yake nikakumbuka neno mmoja mabalo nalikumbukka mpka leo liliniuma sana.

Alinisumbua sana ikafika mahali nilipewa mapumziko hospital, sasa kwenye kumpigia kumwambia nimelazwa ,bwana ee alinitext ".

Utajua mwenyewe siumeyataka mwenyewe,wivu tuu, kufatiliana fatiliana".

Asee sitasahau aalikuwa hana utu..sasa naa wewe. Andika Neno lolote CHUNGU ,ZITO,LENYE MAUMIVU AMBALO Hautakujaa kusahau mtu alikutamkia..
 
Hanarini wapendwa.
Leo nimekaa nikawa nimepitia. Insta nikaona x kapost picha yake nikakumbuka neno mmoja mabalo nalikumbukka mpka leo liliniuma sana.
.alinisumbua sana ikafika mahali nilipewa mapumziko hospital,sasa kwenye kumpigia kumwambia nimelazwa ,bwana ee alinitext ". Utajua mwenyewe siumeyataka mwenyewe,wivu tuu, kufatiliana fatiliana".

Asee sitasahau aalikuwa hana utu..sasa naa wewe. Andika Neno lolote CHUNGU ,ZITO,LENYE MAUMIVU AMBALO Hautakujaa kusahau mtu alikutamkia..
Reconcile, Resilience, Reform, Rebuild.

Wachana na mambo ya kijinga jinga.
 
Back
Top Bottom