kimanganuni
JF-Expert Member
- Dec 14, 2015
- 322
- 167
Ndugu. Naomba kumpata msambazaji wa wine toka Dodoma
Wewe Tu, Zipo Wine Ukinywa Glass Moja Tosha KabisaWine za dumu hazileweshi au mimi ndiye nimekuwa konki master?
Nazitafuta sana wine za namna hiyo, zinapatikana wapi ndugu?Wewe Tu, Zipo Wine Ukinywa Glass Moja Tosha Kabisa
Unapewa Yenye Miaka 2 Oops
Nenda Kanisa La Roma Hapo Jirani PoliceNazitafuta sana wine za namna hiyo, zinapatikana wapi ndugu?
Mkoa gani huo?Nenda Kanisa La Roma Hapo Jirani Police
Nyingine zina hangover mbaya kama K-Vant nahisi kuna kitu wanaongeza hawa watanganyika.wine inategema na alcohol contents- ukinywa yenye chini ya alcohol volume 12 per cent volue , kulewa itakuwa shida, hulewi, ni kama kunywa bia tu kama zile zenye 9 % volue au below, lakini ukinywa wine yenye ujazo zaidi ya hapo, lazima wakupate mtaroni kama alcohol tolerance yako ni ndogo.
Wine zipi hizo zenye alcohol ujazo mkubwa zaidi? Wine zote ambazo nimezitumia hazijawahi kunilewesha.wine inategema na alcohol contents- ukinywa yenye chini ya alcohol volume 12 per cent volue , kulewa itakuwa shida, hulewi, ni kama kunywa bia tu kama zile zenye 9 % volue au below, lakini ukinywa wine yenye ujazo zaidi ya hapo, lazima wakupate mtaroni kama alcohol tolerance yako ni ndogo.
Hichi kinacho kuoa hang over kinaitwa sulphate... n ikemikali zinazoongewa ili kuongeza ubira wa wine, vinginevyo chipa ya wine yaweza kuwa kama wanzukiNyingine zina hangover mbaya kama K-Vant nahisi kuna kitu wanaongeza hawa watanganyika.
hawafuati kipimo maana hizi wine nnje ukinywa hazina shidaHichi kinacho kuoa hang over kinaitwa sulphate... n ikemikali zinazoongewa ili kuongeza ubira wa wine, vinginevyo chipa ya wine yaweza kuwa kama wanzuki
Wine zipo nyingi tu ndugu yangu- tafuta inayoitwa Trivento Malbeck- wine pendwa sana hapa duniani au tafuta inayoitwa vishinat ( Inatengenezwa Romania) ni mchanyo wa wine and whiskey.. ni tamu sana, lakini muziki wake, usiombe.Wine zipi hizo zenye alcohol ujazo mkubwa zaidi? Wine zote ambazo nimezitumia hazijawahi kunilewesha.
kweli kabisa, hawafuati vipimo ndio maana ya matatizo hayohawafuati kipimo maana hizi wine nnje ukinywa hazina shida
Shukrani Mkuu, ngoja nizitafute hizoWine zipo nyingi tu ndugu yangu- tafuta inayoitwa Trivento Malbeck- wine pendwa sana hapa duniani au tafuta inayoitwa vishinat ( Inatengenezwa Romania) ni mchanyo wa wine and whiskey.. ni tamu sana, lakini muziki wake, usiombe.
au tafuta nyingine inaitwa Casillero del Diablo ya Agentina- uone shughui yake.
nitaijaribu hii hizo za waswahili zinaumiza kichwa kama K-Vant halafu test ina tofauti kwa kila chupaWine zipo nyingi tu ndugu yangu- tafuta inayoitwa Trivento Malbeck- wine pendwa sana hapa duniani au tafuta inayoitwa vishinat ( Inatengenezwa Romania) ni mchanyo wa wine and whiskey.. ni tamu sana, lakini muziki wake, usiombe.
au tafuta nyingine inaitwa Casillero del Diablo ya Agentina- uone shughui yake.
Itabidi na mimi niitafute hiiWine zipo nyingi tu ndugu yangu- tafuta inayoitwa Trivento Malbeck- wine pendwa sana hapa duniani au tafuta inayoitwa vishinat ( Inatengenezwa Romania) ni mchanyo wa wine and whiskey.. ni tamu sana, lakini muziki wake, usiombe.
au tafuta nyingine inaitwa Casillero del Diablo ya Chile/Agentina- uone shughui yake. Binafsi, natengeneza zangu mwenyewe na huwa zinanitoa knockout.
Wine zipo za kulewesha, nishawahi kuzima kwenye sherehe ya jumuia kisa wine. Niliacha kuhudhuria jumuia kama miezi mitano hivi, hahaWine zipi hizo zenye alcohol ujazo mkubwa zaidi? Wine zote ambazo nimezitumia hazijawahi kunilewesha.