Anayejua kuhusu huyu Roboti wa Tanzania anisimulie vizuri. Naona mitandaoni amekua gumzo

Staphylococcus Aureus

JF-Expert Member
Jan 18, 2024
1,764
2,762
Kwenu wataalam wa maroboti.

1B094BAC-8424-433D-95F2-581E126A0388.jpeg
 
😂😂

Jana condester bungeni alikuwa anampiga SPANA nape kuhusu roboti “Eunice”

Nasikia tenda wamepewa vijana kutoka South Africa kutengeneza hicho kitu, na wanasema kuna operator ambaye anafanya kazi ya kujibu kwa remote maalumu. Kwa maana kwamba kazi iliyofanyika bado haina ufanisi.

Na wameishia kumuita mdoli wa Nape.

Mimi nipo hapa kuuliza kwa ndugu zangu Watanzania.

Huyu roboti anamsaidia vipi raia ambaye huduma za kijamii kama zahanati vijijini, barabara mbovu, maji na mengineyo kuyatatua?

Jamani Kaka yangu Pascal Mayalla naomba unisaidie nijifunze kitu.najua unashinda sana bungeni.

Nisaidie faida za huyu roboti katika maendeleo ya taifa.
 
😂😂

Jana condester bungeni alikuwa anampiga SPANA nape kuhusu roboti “Eunice”

Nasikia tenda wamepewa vijana kutoka South Africa kutengeneza hicho kitu, na wanasema kuna operator ambaye anafanya kazi ya kujibu kwa remote maalumu. Kwa maana kwamba kazi iliyofanyika bado haina ufanisi.

Na wameishia kumuita mdoli wa Nape.

Mimi nipo hapa kuuliza kwa ndugu zangu Watanzania.

Huyu roboti anamsaidia vipi raia ambaye huduma za kijamii kama zahanati vijijini, barabara mbovu, maji na mengineyo kuyatatua?

Jamani Kaka yangu Pascal Mayalla naomba unisaidie nijifunze kitu.najua unashinda sana bungeni.

Nisaidie faida za huyu roboti katika maendeleo ya taifa.
Kifupi si kila technologia lazima iwe ina uhusiano na maji na umeme!

Naomba nikuweke sawa hapa!!
Ingawa wameboronga lakini kila kitu kuhusianisha na mwananchi wa kijijini au wa huko nachingwea au namtumbo si sawa
 
Kifupi si kila technologia lazima iwe ina uhusiano na maji na umeme!

Naomba nikuweke sawa hapa!!
Ingawa wameboronga lakini kila kitu kuhusianisha na mwananchi wa kijijini au wa huko nachingwea au namtumbo si sawa
Nashukuru mkuu.

Japo nilikuwa nazungumzia vipaumbele. Kama bado kuna huduma za kijamii ni ndoto baadhi ya sehemu, Kwanini tusitangulize vipaumbele kwanza?

Ndio maana nikataka kujifunza roboti yule ana faida gani japo Tatu?
Maana serikali ipo kwa ajili ya wananchi wa Tanzania.

Ahsante kwa marekebisho.
 
Nashukuru mkuu.

Japo nilikuwa nazungumzia vipaumbele. Kama bado kuna huduma za kijamii ni ndoto baadhi ya sehemu, Kwanini tusitangulize vipaumbele kwanza?

Ndio maana nikataka kujifunza roboti yule ana faida gani japo Tatu?
Maana serikali ipo kwa ajili ya wananchi wa Tanzania.

Ahsante kwa marekebisho.
Robot kama robot anaweza asiwe na faida zenye mantic kubwa ila akawa ni taswira ya uwezo wa kitechnologia wa nchi husia kilipo fikia !! Hii inatoa picha ya matumizi na uwezo wa technologia ya maeneo mengine.

kama robot n mdoli wa vile nadhan umepata picha jinsi gan technologia duni iliyopo kwene idara zingine kama maji na umeme hata utendaji kazi uliopo ndo uko ivo ivo wa kuunga unga! hakuwezi kua na maajabu
 
Back
Top Bottom