Berryblack
Member
- Oct 3, 2022
- 27
- 22
Altezza inauzwa million 5, Dar es Salaam… mwaka wa kufosi huu lazma uwe na ndinga yako.
Kwa mawasiliano 0612630936
Kwa mawasiliano 0612630936
Na huu ndio ukweli wenyewe kabisaa.5 nyingi sana kwa hali ya ilo gari
Shukran bossMil 5 ndo unasema kitonga? Hiyo ni 3m ndo bei ya soko! Kaa nayo kama mke!
Bei inapungua zaid mwisho ndo 11m?Crown athlete Kali Sanaa inauzwa …
Cc2500
Full ac
Ina sunroof
Ipo dar
Bei 11M ….. nicheki pm kwa Mzigo mkali View attachment 2986249View attachment 2986250
Huwa zinauzwa milioni 2.5.Mil 5 ndo unasema kitonga? Hiyo ni 3m ndo bei ya soko! Kaa nayo kama mke!
Cc 2500 peteroliUzuri wake ni upi?
Changamoto zake ni zipi?
Tena hapo kapata sana Mkuu. Kama anabisha mwache akae nae ije kuwa banda la kukuHuwa zinauzwa milioni 2.5.
Sema zina nguvu sana halafu siyo mbovu.Tena hapo kapata sana Mkuu. Kama anabisha mwache akae nae ije kuwa banda la kuku
Mark 2 wanja madalali wanaziita.Grand mark 2 inauzwa million 5( maongezi kidogo yapo) … ipo dar
kwa anaehitaji nichek pm View attachment 2986244View attachment 2986245