The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 3,445
- 8,305
Kama unatibiwa india. Au unatoka familia yenye ukwasi huwezi kujua mateso wanayopata watanzania wa kawaida..
Watu wanatumia mitishamba au kwenda kwa mwaposa badala ya kwenda hospital kukwepa gharama kubwa za matibabu. Uongo mkubwa wanakwambia mtoto chini ya miaka 5 anatibiwa bure.
Hata kwa watu wazima vifurudhi vya bima siyo rafiki sana na huduma ni mbovu. Ni mateso makubwa taifa linaangamia.
Hukohuko NHIF wanakosema mfuko umezidiwa fedha zinagawanwa kama njugu nchi ngumu sana hii..
Watu wanatumia mitishamba au kwenda kwa mwaposa badala ya kwenda hospital kukwepa gharama kubwa za matibabu. Uongo mkubwa wanakwambia mtoto chini ya miaka 5 anatibiwa bure.
Hata kwa watu wazima vifurudhi vya bima siyo rafiki sana na huduma ni mbovu. Ni mateso makubwa taifa linaangamia.
Hukohuko NHIF wanakosema mfuko umezidiwa fedha zinagawanwa kama njugu nchi ngumu sana hii..