Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 16,215
- 24,999
“Klabu kubwa kama TP Mazembe imesafiri kutoka DR Congo kuja hapa Jangwani kujifunza kwa kichwa chetu, Rais wetu Eng. Hersi Said halafu kuna watu wako nyumba ya 16 tu jirani hapo, wanapiga kelele kuwa hawana cha kujifunza kwa Yanga.
“Niwaambie tu, tutabeba Makombe hadi kila Mwanachama atakuwa anabeba la kuweka nyumbani kwake,” Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga Sc, Ally Kamwe.
#WasafiSports
NB: Nadhani Makolo mmesikia... Kama mlitegemea kuja kubeba kombe Tena .....mwafwa in magu voice
“Niwaambie tu, tutabeba Makombe hadi kila Mwanachama atakuwa anabeba la kuweka nyumbani kwake,” Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga Sc, Ally Kamwe.
#WasafiSports
NB: Nadhani Makolo mmesikia... Kama mlitegemea kuja kubeba kombe Tena .....mwafwa in magu voice