Habari wadau.
Nina mzigo wangu nimenunua aliexpress mwezi wa 3.
Mzigo ulisafirishwa kwa Ali express standard shipping. Na nilipewa tracking number.
Nimeutrack mzigo ukaonesha umefika Tanzania kwenye sorting centre na kisha ukakabidhiwa kwa local delivery company.. ambayo hawajaitaja jina lake.
Mpaka leo sijapigiwa simu wala kuletewa mzigo wangu na hiyo local delivery company.
Ningependa kujua local delivery company ambazo ali express wanazitumia ku deliver parcel hapa Tanzania ili nifike ofisini kwao kuulizia mzigo wangu.
Nina mzigo wangu nimenunua aliexpress mwezi wa 3.
Mzigo ulisafirishwa kwa Ali express standard shipping. Na nilipewa tracking number.
Nimeutrack mzigo ukaonesha umefika Tanzania kwenye sorting centre na kisha ukakabidhiwa kwa local delivery company.. ambayo hawajaitaja jina lake.
Mpaka leo sijapigiwa simu wala kuletewa mzigo wangu na hiyo local delivery company.
Ningependa kujua local delivery company ambazo ali express wanazitumia ku deliver parcel hapa Tanzania ili nifike ofisini kwao kuulizia mzigo wangu.