KISS 100
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 527
- 1,104
Wasalamu ndugu,Bungeni Leo wamesema kibali Cha Ajira kimetoka.
Nawashauri vijana ambao mnategemea kuomba hasa zile za kuaaply mfanye maandalizi mapema.
1.Vyeti vyako visiwe mbali na wewe
2.Simu yako isikose bando
3.Line yako uliyoijaza kwenye CV yako iwe hewani mda wote
4.Wasiliana na mliomaliza nao wakupe A,B,C
5.Kaa maeneo yenye access ya kupata taarifa muhimu(Be updated)
6.Muombe Muumba wako mana Kuna stiff competition.
Wengine watakuja na ushauri pia.
Karibuni
Nawashauri vijana ambao mnategemea kuomba hasa zile za kuaaply mfanye maandalizi mapema.
1.Vyeti vyako visiwe mbali na wewe
2.Simu yako isikose bando
3.Line yako uliyoijaza kwenye CV yako iwe hewani mda wote
4.Wasiliana na mliomaliza nao wakupe A,B,C
5.Kaa maeneo yenye access ya kupata taarifa muhimu(Be updated)
6.Muombe Muumba wako mana Kuna stiff competition.
Wengine watakuja na ushauri pia.
Karibuni