Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 11,029
- 22,820
Na wasio na hivyo vidole??waweke mfumo wa vidole kwenye kutoa hela kwa wakala nchi nzima.
nilichogundua matapeli wanatumia laini sio za majina yao.
kama tunavyosajili laini kwa vodole na kutoa hela iwe hivyo kama laini sio yako ukiweka vidole kwa wakala hela haitoki.