After British 'Storm Shadow' and French 'SCALP-EG' missiles strike Russia, response against London and Paris Coming

Mathanzua

JF-Expert Member
Jan 4, 2017
16,168
21,146

After British "Storm Shadow" and French "SCALP-EG" Missiles Strike Russia, "Response against London and Paris imminent"​


MAY 18, 2024
After British "Storm Shadow" and French "SCALP-EG" Missiles Strike Russia, "Response against London and Paris Coming"


In mid and late April, Ukrainian SU-27 "Flanker" aircraft fired missiles into Russia. The missile debris was retrieved by Russia and forensic exam revealed they were AASM-250 "Hammer" from France and AGM-88 from the U.S.

Over the past few months, other missile attacks into Russia from Ukraine were forensically analyzed by Russia and, at various locations, the missile were determined to be either French SCALP-EG cruise missiles, or British "STORM SHADOW" cruise missiles.

Russia has repeatedly warned the United States, Britain, and France - all of whom are supplying weapons to Ukraine -- that such weaponry cannot be used to attack inside Russia. Those warnings have apparently been ignored.
Earlier this week, Dmitry Medvedev, Deputy Chairman of the Russian Federation Council (Their version of a Senate) said, in a media interview: "Storm Shadow/SCALP-EG missiles are not controlled by the military personnel of the Armed Forces of Ukraine, but by the British and French who arrived in Ukraine."

He went on to add:
"That is why the response to such actions will not be long in coming, and the target will not only be Kiev, but also London and Paris."

MY TAKE
IT IS MY SINCERE HOPE THAT MOSCOW WILL NOT HIT LONDON AND PARIS.PUTIN HAS HOWEVER REPEATEDLY SAID THAT "TO THINK FOR EVEN ONE SECOND THAT A NATION WILL NOT DEFEND ITSELF WHEN ITS EXISTENCE IS THREATENED IS ABSOLUTE STUPIDITY."

NOW,WILL RUSSIA DEFEND ITSELY IN VIEW OF THIS OBVIOUS THREAT TO ITS EXISTENCE?LET'S KEEP OUR FINGERS CROSSED.

NATO Article 5 provides that if a NATO ally is the victim of an armed attack, each and every other member of the Alliance will consider this act of violence as an armed attack against all members and will take the actions it deems necessary to assist the Ally attacked.Will NATO invoke this article in case Russia attacks London and Paris,let us wait and see.If however that indeed happens,I strongly believe that will be the beginning of WWIII,something which the US and NATO have been seeking for all this time.

----------------------------------------------------------------------------

Link:
After British "Storm Shadow" and French "SCALP-EG" Missiles Strike Russia, "Response against London and Paris Coming"
 
Huo ubavu hana wa kupiga London au French, au News York, hizo nyuklia zao wakipiga na hizo nchi wakafyatua nyuklia, USA , France , UK wote wafayatue nyuklia dhidi ya Russia hata yeye nchi yake haitabaki salama. Si USA, France, UK na Rusia mwenye watabaki majivu . Sasa Putin yuko tayari aangamize warusi wote wafutike kabisa? Hata kama viongozi wa hizo nchi wakiingia kwenye bunker za nyuklia wakakaa huko miaka 3 wakitoka watakuta hakuna nchi tena watakuta mosko, London, Paris, New work ni vifusi na mchanga, sijui wataishije?
 
Ayatollah kamwambia Putin afanye jambo ambalo litawafanya waingereza, wafaransa na wenzao wengine wasirudi tena kufanya mzaha ndani ya ardhi ya Russia.

Amemtolea mfano wa kile nchi yake ilikifanya Israel, hadi kupelekea nchi za magharibi kulaani na kuingiwa na hofu kuwa huenda Ayatollah ataruhusu jeshi lake kuingia kazini kwenda kuwangamiza kina Netanyahu na genge lake hadi kuacha mashimo matupu pale Israel.

Bahati nzuri jumuiya ya kimataifa imeingilia kati na kupelekea Israel kupona ila kwa masharti ya kutorudia kugusa tena masilahi ya Iran popote pale duniani.
 
Ayatollah kamwambia Putin afanye jambo ambalo litawafanya waingereza, wafaransa na wenzao wengine wasirudi tena kufanya mzaha ndani ya ardhi ya Russia.

Amemtolea mfano wa kile nchi yake ilikifanya Israel, hadi kupelekea nchi za magharibi kulaani na kuingiwa na hofu kuwa huenda Ayatollah ataruhusu jeshi lake kuingia kazini kwenda kuwangamiza kina Netanyahu na genge lake hadi kuacha mashimo matupu pale Israel.

Bahati nzuri jumuiya ya kimataifa imeingilia kati na kupelekea Israel kupona ila kwa masharti ya kutorudia kugusa tena masilahi ya Iran popote pale duniani.
Nanukuu:
"Ayatollah kamwambia Putin afanye jambo ambalo litawafanya waingereza, wafaransa na wenzao wengine wasirudi tena kufanya mzaha ndani ya ardhi ya Russia".
Dah! Hizi tisha-tisha bhana; zina wenye nazo. Ayatola ni mjanja sana au ni mwoga wa kutupa - anamsakizia Putin eti yy Putin afanye kile ambacho yeye Ayatola alishindwa kukifanya kwa Israel ila eti aliacha tuu hakukifanya. :EBLAN: :EBLAN:
 
Ayatollah kamwambia Putin afanye jambo ambalo litawafanya waingereza, wafaransa na wenzao wengine wasirudi tena kufanya mzaha ndani ya ardhi ya Russia.

Amemtolea mfano wa kile nchi yake ilikifanya Israel, hadi kupelekea nchi za magharibi kulaani na kuingiwa na hofu kuwa huenda Ayatollah ataruhusu jeshi lake kuingia kazini kwenda kuwangamiza kina Netanyahu na genge lake hadi kuacha mashimo matupu pale Israel.

Bahati nzuri jumuiya ya kimataifa imeingilia kati na kupelekea Israel kupona ila kwa masharti ya kutorudia kugusa tena masilahi ya Iran popote pale duniani.
Huyo Ayatollah khamnei anamshauri upuuzi Putin. Putin akiigusa London atakuwa ameruhusu kufanya vita na mataifa yote yaliyo chini ya Jumuiya ya Madola na Putin anaelewa ivyo. Hawezi kuruhusu ushauri wa kijinga wa Ayatollah khamenei. Anayeongozwa na miemuko ya kidini. Uingereza ni nchi ngumu, Russia 🇷🇺 hana uwezo hata nusu wa kupambana na England 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 . Wazungu watu wa propaganda sana, hawababaishwi na ujamaaa wa China na Russia
 
Huyo Ayatollah khamnei anamshauri upuuzi Putin. Putin akiigusa London atakuwa ameruhusu kufanya vita na mataifa yote yaliyo chini ya Jumuiya ya Madola na Putin anaelewa ivyo. Hawezi kuruhusu ushauri wa kijinga wa Ayatollah khamenei. Anayeongozwa na miemuko ya kidini. Uingereza ni nchi ngumu, Russia 🇷🇺 hana uwezo hata nusu wa kupambana na England 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 . Wazungu watu wa propaganda sana, hawababaishwi na ujamaaa wa China na Russia
Nakuomba ukumbuke maneno yafuatayo ya Putin,
1.TO THINK FOR EVEN ONE SECOND THAT A NATION WILL NOT DEFEND ITSELF WHEN ITS EXISTENCE IS THREATENED IS ABSOLUTE STUPIDITY.
2.WHY DO WE NEED THE WORLD IF THERE IS NO RUSSIA IN IT.
 
Kwa hiyo nchi za Magharibi zinaichokoza Russia makusudi ili ijichanganye ipige nchi mojawapo wapate sababu ya kutumia aricle 5 kuishambulia?
Sidhani Russia kama itaendelea kuvumilia!
Russia italazimika kuifanya Ukraine kuwa kaburi lao!
 
Ayatollah kamwambia Putin afanye jambo ambalo litawafanya waingereza, wafaransa na wenzao wengine wasirudi tena kufanya mzaha ndani ya ardhi ya Russia.

Amemtolea mfano wa kile nchi yake ilikifanya Israel, hadi kupelekea nchi za magharibi kulaani na kuingiwa na hofu kuwa huenda Ayatollah ataruhusu jeshi lake kuingia kazini kwenda kuwangamiza kina Netanyahu na genge lake hadi kuacha mashimo matupu pale Israel.

Bahati nzuri jumuiya ya kimataifa imeingilia kati na kupelekea Israel kupona ila kwa masharti ya kutorudia kugusa tena masilahi ya Iran popote pale duniani.
Nakuomba ukumbuke maneno haya ya Putin,
1.TO THINK FOR EVEN ONE SECOND THAT A NATION WILL NOT DEFEND ITSELF WHEN ITS EXISTENCE IS THREATENED IS ABSOLUTE STUPIDITY.
2.WHY DO WE NEED THE WORLD IF THERE IS NO RUSSIA IN IT.
 
Kwa hiyo nchi za Magharibi zinaichokoza Russia makusudi ili ijichanganye ipige nchi mojawapo wapate sababu ya kutumia aricle 5 kuishambulia?
Sidhani Russia kama itaendelea kuvumilia!
Russia italazimika kuifanya Ukraine kuwa kaburi lao!
Sija-imply hivyo mkuu,infact watu wajue kwamba itafika mahali Putin hatavumilia zaidi.Maneno yake yanayo onyesha kwamba itafika mahali uvumilivu wake utafika mwisho ni haya:

1.TO THINK FOR EVEN ONE SECOND THAT A NATION WILL NOT DEFEND ITSELF WHEN ITS EXISTENCE IS THREATENED IS ABSOLUTE STUPIDITY.

2.WHY DO WE NEED THE WORLD, IF THERE IS NO RUSSIA IN IT.
 
Ai
Ayatollah kamwambia Putin afanye jambo ambalo litawafanya waingereza, wafaransa na wenzao wengine wasirudi tena kufanya mzaha ndani ya ardhi ya Russia.

Amemtolea mfano wa kile nchi yake ilikifanya Israel, hadi kupelekea nchi za magharibi kulaani na kuingiwa na hofu kuwa huenda Ayatollah ataruhusu jeshi lake kuingia kazini kwenda kuwangamiza kina Netanyahu na genge lake hadi kuacha mashimo matupu pale Israel.

Bahati nzuri jumuiya ya kimataifa imeingilia kati na kupelekea Israel kupona ila kwa masharti ya kutorudia kugusa tena masilahi ya Iran popote pale duniani.
Aisee Iran sio mchezo
 
Nakuomba ukumbuke maneno haha ya Putin,"TO THINK FOR EVEN ONE SECOND THAT A NATION WILL NOT DEFEND ITSELF WHEN ITS EXISTENCE IS THREATENED IS ABSOLUTE STUPIDITY."
Achana nae kijana ana comment asichokijua. Kubishana nae ni sawa na kupoteza muda.
 
Ai

Aisee Iran sio mchezo
Iran imeacha historia ya nchi ya kwanza kuishambulia Israel ndani ya ardhi yake huku Israel yenyewe ikisaidiwa na USA, UK, Ujerumani, Ufaransa, Jordan, Saudi Arabia na vikosi vya Marekani vilivyopo Iraq vyote kwa pamoja vikishindwa kuzuia shambulizi.

Fikiria kama nchi hizo zingesema kama Israel ni wanaume kweli tuwaache wazuie wenyewe, hali ingekuaje pale Tel Aviv maana Netanyahu alikuwa ashaandaa ndege kabisa ya kukimbilia Marekani kuomba ukimbizi.
 
Huo ubavu hana wa kupiga London au French, au News York, hizo nyuklia zao wakipiga na hizo nchi wakafyatua nyuklia, USA , France , UK wote wafayatue nyuklia dhidi ya Russia hata yeye nchi yake haitabaki salama. Si USA, France, UK na Rusia mwenye watabaki majivu . Sasa Putin yuko tayari aangamize warusi wote wafutike kabisa? Hata kama viongozi wa hizo nchi wakiingia kwenye bunker za nyuklia wakakaa huko miaka 3 wakitoka watakuta hakuna nchi tena watakuta mosko, London, Paris, New work ni vifusi na mchanga, sijui wataishije?
Seem una idea kidogo kuhusu nucleat warfare lakini inabidi uongeze maarifa zaidi juu ya nuclear.
 
Huyo Ayatollah khamnei anamshauri upuuzi Putin. Putin akiigusa London atakuwa ameruhusu kufanya vita na mataifa yote yaliyo chini ya Jumuiya ya Madola na Putin anaelewa ivyo. Hawezi kuruhusu ushauri wa kijinga wa Ayatollah khamenei. Anayeongozwa na miemuko ya kidini. Uingereza ni nchi ngumu, Russia hana uwezo hata nusu wa kupambana na England 󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 . Wazungu watu wa propaganda sana, hawababaishwi na ujamaaa wa China na Russia
aiseeeee......
England ana ubavu kwa Urusi kweli?
jamaa acha hio sigara unavuta!
 
Back
Top Bottom