Smart codetz
Senior Member
- Jan 25, 2023
- 190
- 753
Meneja Habari na Mawasiliano Simba Ahmed Ally Amekiri wachezaji wa Timu hiyo kudai bonasi.
" kweli wachezaji wanadai Bonasi zao za mechi kadhaa, Kuna wakati taasisi inakuwa na fedha inalipa madeni yote Kuna wakati haina fedha inalimbikiza madeni Mzigo ukipatikana watu wanalipwa"
Ahmed Ally Ameongeza kuwa ni kawaida kwenye taasisi ya biashara watu kucheleweshewa miezi miwili au mitatu lakini hiyo sio sababu ya kufungwa na Azam FC " wametufunga mara mbili wametuzidi ubora "
News & Video Credit: @SokaPlace
" kweli wachezaji wanadai Bonasi zao za mechi kadhaa, Kuna wakati taasisi inakuwa na fedha inalipa madeni yote Kuna wakati haina fedha inalimbikiza madeni Mzigo ukipatikana watu wanalipwa"
Ahmed Ally Ameongeza kuwa ni kawaida kwenye taasisi ya biashara watu kucheleweshewa miezi miwili au mitatu lakini hiyo sio sababu ya kufungwa na Azam FC " wametufunga mara mbili wametuzidi ubora "
News & Video Credit: @SokaPlace