Advanced hacking; Don't be a script kiddie..

Uzi mzuri mkuu. Sema tatizo la hackers wa tz ni wanajisikia na wanaringa + uchoyoo ndo maana hatuendelei. Wenzetu wanaushirikiano kutufunza hata sisi angalau hata ka programming hata intro tu.. ila sisi ndo roho ya korosho sana

Hao uliowatag rootadmin na Thefreedom nawakubali sana hasa huyu jamaa anajiita Thefreedom mshikaji peace saana hajisikiiii, sio mchoyo na hivi ndo tunatakiwa kuwa.

Pamoja we can chalii zangu. Tusaidiane bana ambao tunahitaji hata mwanga wa haya mambo
Kweli kabisa the freedom ni mtu asiye na makuu ukipm anakujibu kwa wakati bila maringo
 
Yaani humu hakuna hata nilichoelewa...ngoja nirud play store tu nikapakue hacker apps,
Nitarud kuwapa mrejesho nimefikia WAP kwenye hatua za awal kuwa hacker
 
Uzi mzuri mkuu. Sema tatizo la hackers wa tz ni wanajisikia na wanaringa + uchoyoo ndo maana hatuendelei. Wenzetu wanaushirikiano kutufunza hata sisi angalau hata ka programming hata intro tu.. ila sisi ndo roho ya korosho sana

Hao uliowatag rootadmin na Thefreedom nawakubali sana hasa huyu jamaa anajiita Thefreedom mshikaji peace saana hajisikiiii, sio mchoyo na hivi ndo tunatakiwa kuwa.

Pamoja we can chalii zangu. Tusaidiane bana ambao tunahitaji hata mwanga wa haya mambo
yaap.. Bahati uzuri kila kitu kipo online tena free ushindwe ww tu..
 
Kama unataka ku hack webite iliyo tengenezwa na PHP sihitaji kujua hayo yote, naweza tumia hiyo hiyo php kufanya tafrani ... japo kujua language nyingi inampa mtu fursa ya kufanya mambo mengi ila sio kumfanya kuwa hacker mzuri, kujua language na ku hack vitu viwilo tofauti
Hvi kujua language nying km kingereza, kifaransa, kiswahili au hapo sjaelewa mwamba
 
Mtu anae taka labda kuingia au ku clack OS, some App flani flani, ina mlazimu awe anajua vitu kama, IA-32 CPU Architecture, stack frames, heaps, exceptions, ImmunityDBG, Ring3 Windows Internal Structures... etc etc... issue muhimu ni kujua unatala kudodondosha nini
Bro hv unaweza kuhack wasap ukaona mambo anayofany target wako?
 
Na kama unataka ku dondosha Android, maana yake ni lazima ujue mazingira mazima ya android, pamoja na examine, build, debug and run applications... hapa IDE inahusika kidogo ujue, pia ujue namna ambavyo android studio ina compiles code and resources into a working android application
Duh!! Hapa napagawa tu v2 nataman kujua kaka
 
Back
Top Bottom