bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,862
Muuaji na aliyuawa wanahaki ya kuishi. Kwa sheria ilivyo sasa anayenyang'anya mwenzie haki hiyo naye ananyang'anywa.Sasa hii inasidia nini?SA, hapo kwenye red unakusudia kusema nini? Hiyo rule inaanzia wapi? Pengine hii ni mojawapo ya 'chicken-egg' dilema...wapi haki hiyo ya kuishi inaanzia - kwa muuwaji au kwa aliyekwisha uwawa? Kama tukisema haki ya kuishi haiwezi kunyang'anywa.....je wanaonyang'anya wenzao haki hiyo wafanywe nini?