Uchaguzi 2020 Adam Mchomvu ampiga mtama Emmanuel Mbasha stejini kwenye tamasha la CCM uwanja wa Uhuru

Mbasha mlevi kalewa huyo, analeta masihara kwenye kazi za watu. Alistahili kichapo.

BTW hawajapigana ila Mbasha kapigwa teke la mguu na wala hakuna issue hapo yeye ka take easy kasepa jukwaani.


Ila kwa vile nyumbu kila jambo mnataka kupata kiki tayari mmeona issue
Mkuu Kwa hiyo wewe unakubali kuwa kuna Jambo la aibu limetokea ila utaona sio kitu, ile ni aibu kubwa Mkuu, ni Aibu Ya Karine na kuna Jambo la MUNGU hapo ni ishara kuwa MUNGU hana Baraka na udhalimu unaofanywa Ndugu na huenda kukaja kutokea Jambo baya zaid na kupelekea hali ikabadilika watu wakaachwa midomo wazi, Mkuu MUNGU anambinu zake zakuwwadhibu watu wanaojificha kwenye pesa na kwenye bunduki za umma
 
CCM imejaa kila aina ya wahuni wengine walikuwa na visu umo

CCM Ni bahari.....Hivi Akitokea Mtu Akisema CCM Haina MWANACHAMA Shoga hata mmoja,utamuamini?!!!

Kinyume Chake,Sitoamini mtu akae Na kunipanga Kuwa Chadema HAKUNA MWANACHAMA Punga!!!
 
CCM Ni bahari.....Hivi Akitokea Mtu Akisema CCM Haina MWANACHAMA Shoga hata mmoja,utamuamini?!!!

Kinyume Chake,Sitoamini mtu akae Na kunipanga Kuwa Chadema HAKUNA MWANACHAMA Punga!!!
Halafu sio Ccm Sema kikundi cha wahuni ndani Ya Ccm, ujue Ccm yetu ile imetekwa na wahuni hata 50 hawafiki Kwa taarifa yako
 
M
Halafu sio Ccm Sema kikundi cha wahuni ndani Ya Ccm, ujue Ccm yetu ile imetekwa na wahuni hata 50 hawafiki Kwa taarifa yako

Mkuu Umetaja KUNDI la wahuni ambao ndani mwake kuna vitabia vingi tofauti na vibaya...

Umewahesabu kuwa ni 50 tu.....Je wote Hao Wana sifa moja TU ya kihuni ama?

By da Way Nilikuwa Ninamjibu Kurlzawa Alipotujumuisha Wanachama wote.....
 
Hata Kama Mimi ndio ningekuwa Adamu ningefanya vile au ningefanya kitu kinachokaribiana na kile, huwezi ukaongea ushubwada Kama ule kwenye kadamnasi ile na hujui who is watching
 
Vipi ule uzi ulioanzisha wa kuangalia upande wako umeona hauna nguvu. Chadema bwana.
Mimi sio chadema Mkuu, ila ni mtetezi wa haki za binadam, nachukizwa na magaidi wanaotumia siraha za wananchi kuuwa, kutesa, kupora, kunyanyasa ,kubagua na kueneza Chuki, mtu anajitokeza hadharani anasema kuwa watu Fulani wauwawe kesho yake huyo mtu anateuliwa kuwa Mkuu wa wilaya Au Mkoa nitakuwa mtu wa ajabu tena mnyama wa hatari sana Kama nitakuwa upande wa kiongozi wa Aina hiyo, kiongozi wa Aina hiyo ni muuuwaji katiri asietakiwa kuachwa na binadam yoyote anaemjua MUNGU.

Hivi Leo hiii ukute watu wanakumiminia risasi 32 mchana kweupeee Halafu una watoto wako na Mke ufe kisa tu umemkosoa huyo anaejiita MUNGU mtu je utajisikiaje? Watoto wako watajisikiaje? Familia majirani na Ndugu je, unataka kuniambia kuwa ukifanyiwa hivyo Mimi nifurahie nicheke?
 
Aaaah mkuu ukipungiwa na wewe
Mkuu Ninawashukuru Wazazi Wangu Kwa Kunilinda NiSICHEZEWE nilipokuwa mdogo....waliangalia Sana nyendo zangu na watoto wenzangu katika MAPAGALE....Na Niliondoka rasmi Kwetu baada ya kufika 24...Sikubadilika katika umri huo mpaka Sasa mkuu wangu....

Nilikuwa naizungumzia Jamii Ninayoiona ndani ya CCM na Chadema manake ninamfahamu Punga zaidi ya Mmoja ndani ya CHADEMA.....kiheshima siwezi kumtaja...Haina Maana CCM hakuna hata mmoja nisiyemjua...
 
Mkuu Kwa hiyo wewe unakubali kuwa kuna Jambo la aibu limetokea ila utaona sio kitu, ile ni aibu kubwa Mkuu, ni Aibu Ya Karine na kuna Jambo la MUNGU hapo ni ishara kuwa MUNGU hana Baraka na udhalimu unaofanywa Ndugu na huenda kukaja kutokea Jambo baya zaid na kupelekea hali ikabadilika watu wakaachwa midomo wazi, Mkuu MUNGU anambinu zake zakuwwadhibu watu wanaojificha kwenye pesa na kwenye bunduki za umma
Subiri hilo jambo hutaliona milele. Usanii na ulevi unaita Mungu. Huwammnakosa mambo ya kuongea
 
Back
Top Bottom