Uchaguzi 2020 ACT, CHADEMA na NCCR pamoja na vyama vitakavyoona ni vema, waungane

KAKA A TAIFA

JF-Expert Member
Apr 27, 2011
566
81
Wamchague gwiji atakayenogesha ushindani na CCM.

Mgombea mwenza awe Fatma Karume
Waziri Mkuu - Zitto Kabwe
Waziri wa Sheria na Katiba - Tundu Lissu
Waziri wa Maliasili -- Mch Msigwa
Waziri wa Elimu - James Mbatia
Nk
 
Msajili wa vyama vya siasa alishasema kuwa muda wa kuungana umeshapita na kwa sasa haiwezekani....
 
Hata wakipewa na kura zote walizopata wapinzani kwenye chaguzi kuu za Burundi na Rwanda bado sioni upinzani ukishika dola.
 
Kumbe wakiungana tu hata kabla ya uchaguzi wanaunda baraza la Mawaziri!!
 
Back
Top Bottom