Pilipilihoho
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 202
- 145
Jamaa mmoja kwa kupenda vya kunyonga siku moja aliingia choo cha stendi bila kupenda. Tabia yake ya kuuliza maswali yasiyo na msingi ilimtokea puani na kumwacha mdogo kama kanyeshewa mvua ya mawe.
John: Cuzo, nasikia siku hizi unafanya kazi bakery.
Cuzo: Ndiyo, nafanya job kwa bakery bana.
John: Mbona hujawahi niletea mkate hata mmoja bana?
Cuzo: Dada yako yule anafanya kazi airport amewahi kuja na ndege kwa nyumba? Ehee! Wewe mwenyewe wafanya kazi mortuary, ushawahi kuja na maiti? Tafadhari usinikasirishe, sijalipwa mshahara mwezi wa tatu huu!
John: Cuzo, nasikia siku hizi unafanya kazi bakery.
Cuzo: Ndiyo, nafanya job kwa bakery bana.
John: Mbona hujawahi niletea mkate hata mmoja bana?
Cuzo: Dada yako yule anafanya kazi airport amewahi kuja na ndege kwa nyumba? Ehee! Wewe mwenyewe wafanya kazi mortuary, ushawahi kuja na maiti? Tafadhari usinikasirishe, sijalipwa mshahara mwezi wa tatu huu!