Riskytaker
Senior Member
- Mar 14, 2024
- 142
- 633
Sometimes kuchomoko kwenye cycle ya umasikini inahitaji upate mtu wa kukushika mkono.
Unfortunately waswahili hatuna ustaarabu wa kusaidiana tunadhani ukimsaidia mtu atakuzidi mafanikio
Haya maisha ni kama yameamua kua serious hakuna huruma kwa maskini.
You have to play so hard perpendicular na watu wa kukupushi
Kuna watu wanastrugle lakini mambo yanakataa
Tuna hadithi nyingi sana za watu walioshikwa mkono wakatoboa.
Saidia ndugu yako kataa umaskini
Unfortunately waswahili hatuna ustaarabu wa kusaidiana tunadhani ukimsaidia mtu atakuzidi mafanikio
Haya maisha ni kama yameamua kua serious hakuna huruma kwa maskini.
You have to play so hard perpendicular na watu wa kukupushi
Kuna watu wanastrugle lakini mambo yanakataa
Tuna hadithi nyingi sana za watu walioshikwa mkono wakatoboa.
Saidia ndugu yako kataa umaskini