prediction

  1. LIKUD

    Utabiri wangu: Yanga watashinda kwa mgoli 2 dhidi ya CR Belouizdad na yote yatafungwa na Mzize

    Huo ndio utabiri wangu. Yanga watashinda kwa magoli mawili kwa sifuri. Magoli yote mawili yatafungwa na Walid Mzize na yatafungwa kipindi cha kwanza. Watu mlio karibu na benchi la ufundi la Yanga fanyieni kazi taarifa hii. Endapo haitakuwa hivi basi nitajitoa jamii forums moja kwa moja na...
  2. anti-Glazer

    Cheki out our prediction United vs Asernal

    Tutakuka hivi. Hawa tutawakalia hivi
  3. Adipoz

    UEFA champions league 2022/23 quarter final draw prediction

    Siku ya kesho kunatarajiwa kuchezeshwa draw ya robo fainali ya ligi ya mabingwa ulaya, Europa pamoja na conference league. Hivyo sio mbaya wadau wa soka tukajadiliana na kutoa mitizamo mbalimbali kuhusu nani atakutana na nani katika hatua ya robo Fainali ya ligi ya mabingwa ulaya. TIMU...
Back
Top Bottom