Huo ndio utabiri wangu.
Yanga watashinda kwa magoli mawili kwa sifuri.
Magoli yote mawili yatafungwa na Walid Mzize na yatafungwa kipindi cha kwanza.
Watu mlio karibu na benchi la ufundi la Yanga fanyieni kazi taarifa hii.
Endapo haitakuwa hivi basi nitajitoa jamii forums moja kwa moja na...
Siku ya kesho kunatarajiwa kuchezeshwa draw ya robo fainali ya ligi ya mabingwa ulaya, Europa pamoja na conference league.
Hivyo sio mbaya wadau wa soka tukajadiliana na kutoa mitizamo mbalimbali kuhusu nani atakutana na nani katika hatua ya robo Fainali ya ligi ya mabingwa ulaya.
TIMU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.