moses phiri

Moses Phiri (born 3 June 1993) is a Zambian football player who plays for Zanaco.

View More On Wikipedia.org
  1. SAYVILLE

    Moses Phiri hajagusa mpira kwa dakika 16

    Juzi hapa nilifanya marudio ya mechi ya Simba vs ASEC Mimosas ili nijiridhishe baadhi ya vitu. Moja ya jambo nililogundua na kunishangaza katika marudio ni kugundua kuwa Moses Phiri aliingia dakika ya 59 ya mchezo na alikuja kugusa mpira wake wa kwanza dakika ya 76. Imenikumbusha mechi ya...
  2. sky soldier

    Sio Chama wala Kibu Dee, Hofu yetu Yanga ni Moses Phiri, Sub yake inatisha kama giza

    Kwanza nikiri kabisa nimewahi kumuona Kibu Dee laiv pale Sokoine uwanja wa Mbeya, ni mchezaji mzuri sana mwenye nguvu, spidi, akili, n.k. ila huyu wanaweza kummudu kimtindo jumapili. Kwa Chama nae sio kitisho mbele ya watu kama Yao Yao. Ila kuna huyu Noses Phiri sio wa kumchukulia poa hata...
  3. GENTAMYCINE

    Ikikuuma Kajinyonge, ila ukweli ni kwamba 85% Moses Phiri anaenda Yanga SC Dirisha Dogo au Msimu Mpya ujao

    GENTAMYCINE nimeandika Threads za kutosha hapa Kuuonya Uongozi wa Simba SC juu ya Kocha Mkuu Roberto Oliveira anachomfanyia Mshambuliaji wangu Bora ndani ya Simba SC Moses Phiri ila nikapuuzwa. Mpaka nikaja hapa JamiiForums Kumuonya Kiongozi Mmoja Mwandamizi wa Simba SC kuwa Yeye ndiyo...
  4. SAYVILLE

    Shida ya Moses Phiri ni kuwa position yake haijulikani pale Simba

    Hili jambo nililiona siku nyingi za nyuma nikaamua kulikaushia ila ngoja tu leo niliseme. Ukipitia profile za wachezaji wote wa Simba katika website ya timu, Moses Phiri ndiye mchezaji ambaye ana taarifa fupi na chache kuliko mchezaji yoyote. Wakati wachezaji wengine katika profile zao...
  5. GENTAMYCINE

    Moses Phiri ametushukuru wale Wote tuliompambania hadi sasa ameanza kupata Namba Kikosini na Kufunga pia

    Yaani kabisa GENTAMYCINE na wana Simba SC Wengine akina rodrick alexander na SAGAI GALGANO tukupiganie halafu Usisikike na Usifanikiwe au Usilishinde tatizo lako linalokukabili? Sasa Phiri anacheza nina Furaha mno kwani ndiyo Mshambuliaji wangu bora kuliko Wote Kikosini Simba SC.
  6. Justine Marack

    Simba msiue kipaji cha mchezaji

    Huyu kocha wa Simba mimi sijawahi kumuelewa. Binafsi huwa sipendi watu wenye maneno mengi kuliko vitendo. Huyu Babu anaonekana kuwa na chuki wa wachezaji na kuwabagua. Ndio maana ujio wake pale Simba umeua viwango vya wachezaji. Bocco ametoka kuwa goli zaidi ya 10 na kudorora, Sakho hakuwahi...
  7. GENTAMYCINE

    Uongozi wa Simba SC Kocha Robertinho akiendelea Kutompanga Mshambuliaji Moses Phiri nitamtaja Kiongozi anayemchukia

    Haiwezekani anaingizwa Mzee John Boko halafu Moses Phiri mwenye kila kitu anakalishwa Benchi. Wewe Kiongozi Mwandamizi ndani ya Simba SC jana ulikuwepo GENTAMYCINE nakuonya acha chuki zako kwa Phiri kwakuwa tu alikataa kukupa 10% sawa?
  8. OKW BOBAN SUNZU

    Kuhusu Moses Phiri naomba nisiwe mnafiki

    Haya mambo ya kuzunguka zunguka hayafai kwa sababu muda unaenda kasi sana. Siwezi kujifanya sijashtuka Phiri kukalia bench dakika 90. Ni uongo. Kila mtu kaona kikosi cha kwanza huku majembe mengine yakiwa pale bench. Baadae wakapewa nafasi wachezaji wa kawaida na wakali kama kina Ngoma. Halafu...
  9. kwisha

    Yuko wapi Moses Phiri?

    Yuko wapi Moses Phiri? Mbona siku hizi hasikiki tena. Bado ni majeruhi au. Nimecheka kwa uzuni kabisa [emoji12][emoji2][emoji14][emoji28] Tulipo wambia acheni kumlinganisha Mayele na Moses Phiri tulikuwa tuna sababu kubwa Na sababu moja ni hii tuliona huyu bwana akianza kukabwa vizuri na...
  10. SAYVILLE

    Moses Phiri is back!

    Kama kuna jambo limevuruga ustawi wa Simba msimu huu ilikuwa ni majeraha ya Moses Phiri. Ilichukua muda Simba kujijenga bila uwepo wake ukichukulia tayari alikuwa tegemeo la kwanza katika timu katika ufungaji wa magoli. Baada ya kupona, Simba walikuwa wavumilivu sana katika kumrudisha kikosini...
  11. GENTAMYCINE

    Moses Phiri asingemuweka Fiston Mayele Kichwani mwake haya Majeraha asingeyapata

    Kinachomgharimu Moses Phiri ni kutokubali kwanba Mshindani wake Fiston Mayele yuko kwenye Njia ( Relini ) Kiufungaji kutokana na Kuizoea Ligi Kuu ya Tanzania kulko Yeye Mgeni. Matokeo yake sasa Moses Phiri analazimika kutumia Nguvu Kubwa Kushindwana Kiufungaji n Fiston Mayele matokeo yake...
  12. ninosi

    General Moses Phiri na rekodi za kuogofya!

    Tukiwa tunaelekea 23/10 "Wazee wa Historia" A.K.A Mabingwa wa Kihistoria naomba niwajuze historia hii! Moses Phiri ambaye nchini Zambia hutambulika kama "Moses of Our Time" na akiwa Tanzania kama "General", rekodi zake katika vitabu vya "Historia" zinaogofya mno! Kwanini nasema hivyo, ungana...
  13. B

    Kama Moses Phiri ataendelea hivi mpaka Jan 2023 Manzoki wa nini?

    Kama Moses Phiri ataendelea na moto huu huu maana yake hatumhtaj manzoki kwa sasa. PHIRI ameonyesha ni goal scorer mzuri. Kufika January tutaona mwenendo wake lakini anaonyesha ni mzuri wa kujiposition, CHAMA asiumie tu. SIMBA NGUVU MOJA
  14. M

    Kati ya Fiston Mayele na Moses Phiri nani mtu hatari zaidi katika suala la kufunga?

    Habari, kama thread inavyosema, hivi kati ya Mayele mfalme wa Jangwani na Phiri mfalme wa Msimbazi, nani ni mtu hatari zaidi bila ushabiki.
  15. Championship

    Moses Phiri, the silent killer

    Moja kati ya washambuliaji wasio na mbwembwe wala maneno mengi. Muonekano wa upole lakini killer haswa. Anageuka haraka, anakimbia na mpira, anatoa pasi, anakaa kwenye nafasi na anajua kuzipasia nyavu. Hasikiki sana wala hashangilii kwa makeke kama yule wa Congo lakini matokeo yanaonekana...
  16. OKW BOBAN SUNZU

    Moses Phiri akataa ofa ya Yanga, asaini Simba SC

    DEADLINE DAY| MOSES PHIRI TRANSFER 🚨 ↪️The last updates from my sources in Zambia firmly believe Moses Phiri is joining Simba Sports Club of Dar Es Salaam in the summer window ↪️As reported before, Phiri has a pre contract with the Reds of Kariakoo, his side also highly respect the agreements...
Back
Top Bottom