miaka 58

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ACT Wazalendo

    ACT Wazalendo na Miaka 58 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

    TAARIFA YA MIAKA 58 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR. 1. UTANGULIZI Ni historia ya kupigiwa mfano kwa Taifa letu kwamba tunaadhimisha miaka 58 ya Muungano wetu. ambapo nchi mbili huru, Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, ziliungana rasmi siku ya tarehe 26-04-1964...
  2. Mwande na Mndewa

    Miaka 58 ya Muungano; Maoni mbalimbali yaliyopata kuzungumzwa juu ya Muungano

    MIAKA 58 YA MUUNGANO;MAONI MBALIMBALI YALIYOPATA KUZUNGUMZWA JUU YA MUUNGANO. Leo 12:15pm 26/04/2022 Muungano wetu ni muungano wa pekee na wa aina yake duniani,hakuna Muungano mwingine wowote kama huu Muungano wetu wa Tanganyika na Zanzibar kuzaa Tanzania,bado najiuliza jina la Tanganyika...
  3. JanguKamaJangu

    Manyara: Mzee wa miaka 58 abaka watoto watatu akiwemo mwanaye wa kumzaa

    Jeshi la Polisi Mkoani Manyara limethibitisha mwanaume mmoja ajulikanae kwa jina la Simon Zakalia (58) kushikiliwa kwa tuhuma za ubakaji wa watoto watatu Wilayani Hanang mkoani humo akiwemo binti yake. Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Manyara, Limited Mhongole amesema mtuhumiwa huyo...
  4. sifi leo

    Rais Mwinyi, miaka 58 ya Mapinduzi Zanzibari hakuna mzawa au hata serikali haina uwezo wa kuendesha uwanja wa ndege?

    Kuna vitu viwili vimenishutua leo kutoka kwenye kichwa Cha Rais Mwinyi. Cha kwanza ni kusherekea 58yrs of independence Bado Zanzibari Haina mzanzibari mzawa au hata serikali Haina uwezo wa kusimamia viwanja vya ndege mpaka inakodsha shirika la ndege kwa taifa fulani. Hivi ikitokea vita hiyo...
Back
Top Bottom