Pamoja na ugeni wa Corona nchini Tanzania, lakini hatutaweza kuacha kuwakumbuka na kuwatakia heri ya maisha yao Mashujaa wachache wa Taifa hili, Akiwemo Mh Halima Mdee, ambaye uwepo wake nchini Tanzania ni Makusudi maalum ya Mwenyezi Mungu.
Kwa sababu ya uthubutu wake wa kuwatetea wengine na...
Namtakia kila la kheri mwenyekiti wa CCM Dr Magufuli
Nawatakia kila la kheri makamu mwenyekiti mzee Mangula, Katibu mkuu Dr Bashiru na sekretarieti yote
Namtakia kila la kheri kada mkongwe na asiyechoka Mzee Mgaya
Nawatakia kila la kheri wanaccm wote
Mwisho lakini siyo kwa umuhimu nawatakia...
US President Donald Trump has sent a birthday message to North Korean leader Kim Jong-un, said South Korean National Security Advisor Chung Eui-Yong.
Speaking with reporters, the official, who met with POTUS this week, said he had been given a message to pass to North Korea, which was...
Salamu wakuu, Namshukuru Mungu kwa kuongeza mwaka mwingine sifa na heshima zimrudie yeye, namshukuru kwa ulinzi na baraka zake za kila siku. Familia yangu ya JamiiForums asanteni sana kwa kuwa nami🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Nikiwa ndani ya uwanja wa Kirumba napenda kukupa salamu za baraka kwa siku yako ya kuzaliwa kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni Mh Freeman Mbowe.
Mungu akubariki.
Maendeleo hayana vyama!
Tarehe kama ya leo 26 Nov Mkoa wa Kilimanjaro ndani ya Wilaya ya Moshi vijijini. Kijiji kimoja cha kuitwa "masama" baba na mama wa CONTROLA walibahatika kupata mtoto wao wa kwanza waliempenda kupita maelezo,wakati CONTROLA akizaliwa alitoa kilio cha hatari ila kwa upande wa wazazi wake wao...
Namshukuru sana M/MUNGU mwingi wa rehma na baraka kwa kuniwezesha kufikia leo tarehe ambayo kwa uwezo wake nilikuja dunia shukran za dhati ziende kwa wzazi wangu wawili............Wallah nina furaha sana.
Hongera ndugu yangu kwa kumbukizi ya siku yako ya kuzaliwa! Mungu afanikishe ndoto zako na zaidi akujalie afya nzuri na maisha marefu yenye furaha na mafanikio! Furahia siku yako!
Naikumbuka vema hadithi ya maisha yako ndugu yangu kwa hakika umepitia mengi. Historia ya maisha yako ilianzia...
Wadau.
Leo Novemba 12,2019 Mzee Wetu na Rais Mstaafu Wa Awamu Ya Tatu Benjamin Mkapa Anatimiza Miaka 81 ya Kuzaliwa.
Tukio Hilo linaambatana na sherehe Mubashara muda Huu wa Uzinduzi wa Kitabu Chake Cha "My Life, My Purpose"
Hongera Sana Mzee Wetu.
----
Benjamin William Mkapa is a...
wakuu hivi huu utaratibu wa kumwagiana maji siku ya kuzaliwa ulianzishwa kwa manufaa gani? mbona kama wahuni wanazidisha manjonjo? Binafsi sijaruhusu utaratibu huu kwenye siku yangu ya kuzaliwa. Huyu dingii ni siku yake ya kuzaliwa, wahuni wakaona sio kesi wakatafuta mahali chemba ilipo a.k.a...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.