happy birthday

  1. Erythrocyte

    I wish you Hon Halima Mdee A very Happy Birthday indeed

    Pamoja na ugeni wa Corona nchini Tanzania, lakini hatutaweza kuacha kuwakumbuka na kuwatakia heri ya maisha yao Mashujaa wachache wa Taifa hili, Akiwemo Mh Halima Mdee, ambaye uwepo wake nchini Tanzania ni Makusudi maalum ya Mwenyezi Mungu. Kwa sababu ya uthubutu wake wa kuwatetea wengine na...
  2. J

    Happy Birthday CCM, Tunawashukuru kwa mema yote mliyolitendea taifa ikiwemo kuukubali mfumo wa vyama vingi!

    Namtakia kila la kheri mwenyekiti wa CCM Dr Magufuli Nawatakia kila la kheri makamu mwenyekiti mzee Mangula, Katibu mkuu Dr Bashiru na sekretarieti yote Namtakia kila la kheri kada mkongwe na asiyechoka Mzee Mgaya Nawatakia kila la kheri wanaccm wote Mwisho lakini siyo kwa umuhimu nawatakia...
  3. FRANC THE GREAT

    Donald Trump Sends a Birthday Message to North Korean Leader Kim Jong-un

    US President Donald Trump has sent a birthday message to North Korean leader Kim Jong-un, said South Korean National Security Advisor Chung Eui-Yong. Speaking with reporters, the official, who met with POTUS this week, said he had been given a message to pass to North Korea, which was...
  4. esiankiki

    Happy Birthday to me

    Salamu wakuu, Namshukuru Mungu kwa kuongeza mwaka mwingine sifa na heshima zimrudie yeye, namshukuru kwa ulinzi na baraka zake za kila siku. Familia yangu ya JamiiForums asanteni sana kwa kuwa nami🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
  5. C

    Happy birthday by Ndala Kasheba

    Tafadhali sana wana burudani, yeyote mwenye access ya wimbo wa Ndala Kasheba, Happy Birthday to You, share nami tafadhali
  6. J

    Happy Birthday Freeman Aikael Mbowe

    Nikiwa ndani ya uwanja wa Kirumba napenda kukupa salamu za baraka kwa siku yako ya kuzaliwa kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni Mh Freeman Mbowe. Mungu akubariki. Maendeleo hayana vyama!
  7. CONTROLA

    Happy Birthday CONTROLA

    Tarehe kama ya leo 26 Nov Mkoa wa Kilimanjaro ndani ya Wilaya ya Moshi vijijini. Kijiji kimoja cha kuitwa "masama" baba na mama wa CONTROLA walibahatika kupata mtoto wao wa kwanza waliempenda kupita maelezo,wakati CONTROLA akizaliwa alitoa kilio cha hatari ila kwa upande wa wazazi wake wao...
  8. othiambo

    Happy birthday to me

    Namshukuru sana M/MUNGU mwingi wa rehma na baraka kwa kuniwezesha kufikia leo tarehe ambayo kwa uwezo wake nilikuja dunia shukran za dhati ziende kwa wzazi wangu wawili............Wallah nina furaha sana.
  9. Verifier

    Happy Birthday

    Hongera ndugu yangu kwa kumbukizi ya siku yako ya kuzaliwa! Mungu afanikishe ndoto zako na zaidi akujalie afya nzuri na maisha marefu yenye furaha na mafanikio! Furahia siku yako! Naikumbuka vema hadithi ya maisha yako ndugu yangu kwa hakika umepitia mengi. Historia ya maisha yako ilianzia...
  10. Boniphace Kichonge

    Mzee Benjamin Mkapa asherekea siku yake ya kuzaliwa kwa kuzindua kitabu chake cha 'My Life, My Purpose'

    Wadau. Leo Novemba 12,2019 Mzee Wetu na Rais Mstaafu Wa Awamu Ya Tatu Benjamin Mkapa Anatimiza Miaka 81 ya Kuzaliwa. Tukio Hilo linaambatana na sherehe Mubashara muda Huu wa Uzinduzi wa Kitabu Chake Cha "My Life, My Purpose" Hongera Sana Mzee Wetu. ---- Benjamin William Mkapa is a...
  11. Rebeca 83

    Happy Birthday Mr. President

    Happy Birthday Mr. President. Ujumbe: Tukumbuke wana Vunjo kama unavyoikumbuka Chato. Enjoy your day, Thanks.
  12. Boniphace Kichonge

    Heri ya siku ya kuzaliwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. John Pombe Magufuli

    Wadau, President Magufuli is now 60 years old. Happy birthday to our great leader Dr. John Pombe Magufuli. May you live long
  13. Squidward

    Aogeshwa maji taka siku yake ya kuzaliwa 💩💩

    wakuu hivi huu utaratibu wa kumwagiana maji siku ya kuzaliwa ulianzishwa kwa manufaa gani? mbona kama wahuni wanazidisha manjonjo? Binafsi sijaruhusu utaratibu huu kwenye siku yangu ya kuzaliwa. Huyu dingii ni siku yake ya kuzaliwa, wahuni wakaona sio kesi wakatafuta mahali chemba ilipo a.k.a...
Back
Top Bottom