chanjo ya pfizer

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Miss Zomboko

    #COVID19 Takriban dozi laki moja za chanjo ya Pfizer ziko hatarini kuharibiwa-Mamlaka Afrika kusini

    Mamlaka ya afya ya Afrika Kusini ilisema Ijumaa kamba takriban dozi 100,000 za chanjo ya Pfizer ya COVID-19 ziko katika hatari ya kuharibiwa ifikapo mwishoni mwa mwezi huu kutokana na watu kutojitokeza kwa haraka kupokea chanjo. Afrika Kusini imerekodi idadi kubwa ya maambukizi na vifo vya...
  2. The Evil Genius

    #COVID19 CDC imeshauri watu kuachana na chanjo ya J&J kwani inasababisha kuganda kwa damu kwenye ubongo, watumie Moderna ama Pfizer

    Taasisi ya kudhibiti magonjwa ya Marekani, CDC imeshauri watu kupata chanjo za Pfizer ama Moderna kuliko J&J. CDC imefikia uamuzi huo baada ya kushauriwa na wataalamu wa afya kwamba hizo chanjo ni salama zaidi kuliko J&J. Sababu kubwa ya kupendekeza hivyo ni kwamba J&J inasababisha matatizo ya...
  3. beth

    #COVID19 Tanzania yapokea Dozi 499,590 za Chanjo ya Pfizer

    Serikali ya Tanzania leo imepokea dozi 499,590 za chanjo ya ugonjwa wa Uviko-19 aina ya Pfizer kutoka serikali ya Marekani ikiwa ni msaada wa mpango wa Covax. Chanjo hizo zimepokewa wakati tayari baadhi ya Watanzania wamepata chanjo ya Johnson &Johnson na Sinopharm. Chanjo hizo zimepokewa leo...
Back
Top Bottom