Tafuta mazingira tulivu na rafiki anayoyapenda MCHANE LAIVU HAPO HAPO.
Muambie una haki ya kukasirika maana "Mchuma janga hula na wa kwao".
Vinginevyo subiri ya Penina.
Ulishasoma mahali kwenye msahafu wowote kuhusu kiumbe Cha jinsia ya kike Mbinguni?
Mfano, umewahi kusoma popote kuwa Kuna malaika wa Kike?
YESU ni wa Mbinguni na sio wa Duniani. Duniani ndio kuna kuoa na kuolewa. Huwezi elewa hili ukitafakari kwa akili za makobazi.
Nafasi ya pili hiyoo inayeyuka!
Kwa msimamo wa ligi ulivyo Sasa, ndio kusema Ili Simba iwe nafasi ya pili basi mechi yake ijayo na JKT, ifunge bao 10 bila majibu. Wakati huo huo na Azam ishinde kwa bao Moja tu dhidi ya Geita.
Sijui, ila labda kwa Simba hii ya Mgunda na Ahmed Ally, miujiza hii...
1673 ni wiki, Je ikifika mwezi itakuwaje?
Unawajua na wasiopenda kuonekana hadharani wako wangapi na wamechanga ngapi?
Lakini kama Mtu ananitaka mchango na siko katika Hali nzuri kiuchumi na sijamchangia so far, ndio simpendi?
Daah, niliwahi kumgongea Mzee mmoja Mke wake aisee (alikuwa na kabinti kadogo), Huyu mzee alikuwaga hatokitoki ndani kwa matatizo ya miguu na pressure but that time alipata nguvu za kuzunguka mji mzima akinitafuta! Angenipata sijui ingekuwa Je!!🤔
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.