Search results

  1. Mama Mdogo

    Airtel money mnazingua

    Tangu juzi nimekuwa nikituma hela kwenda kwa wadau wangu kutokea mpesa na tigo pesa kwenda airtel money. Cha ajabu hela upande wangu imekatwa, lskini huko iendako kupitia airtel money hela haifiki. Ukiuliza ubaambiwa usubiri saa 24 zipite. Airtel monet mnawazingua wateja wenu.
  2. Mama Mdogo

    Any Time Cancellation (ATC)

    During the 1980s and 1990s, the acronym ATC standing for Any Time Cancellation was coined to reflect what was actually happening on the ground in terms of the operationalization of the national airline, Air Tanzania Corporation. It was marred by frequent travel cancellations. Lately, these...
  3. Mama Mdogo

    Kitimtim comedy imulikwe

    Natoa rai kwa mamlaka husika (Wizara ya utamaduni na michezo, Baraza la ssna ka taifa, TCRA etc) kufuatilia kwa umakini maudhui ya Kitimtim comedy inayoneshwa kwenye chanel 160 DSTV/Multichoice. Wameanza kuongelea mambo ya kufanya ngono kwa uwazi hadi inatia aibu mzazi kuangalia skiwa na watoto...
  4. Mama Mdogo

    Uadilifu katika utumishi wa Umma

    Naomba kuelimishwa. Je, misingi na taratibu za utumishi wa umma zinamruhusu kiongozi kulazimisha watumishi walio chini yake (wizara, idara, kitengo, wakala, taasisi) waende kufanyia semina, makongamano au warsha katika wilaya anayotoka. Na hususani wakati wakiwa huko wilayani kwake kuelekeza...
  5. Mama Mdogo

    TAXIFY /BOLT: rekebisheni platform yenu, tunaibiwa

    Nawasilisha kilio cha wateja wa taxi tunaotumia madreva waliosajiriwa na TAXIFY/BOLT Tanzania. Madreva wenu wanatuibia sana kwa kuchezea platform aka kuchezesha dish. Musiporekebisha si ajabu abiria wenu wakahamia kwa wengine, mfano Ubber. Msipofanya hivyo mutachakaa sana!!! Sent using Jamii...
  6. Mama Mdogo

    Nani analeta foleni barabarani: Polisi, taa za kuongoza au mzunguko (round about)

    Katika mihangaiko yangu katika nchi mbalimbali na hapa nchini, nimeona kwa wenzetu walioendelea magari barabarani yanaongozwa na taa (traffic lights, robots) na hawana roundabout nyingi ila wana interchanges na flyovers nyingi. Hapa nchini kwetu tuna taa za barabarani, traffic police na round...
  7. Mama Mdogo

    Msongamano wa magari barabara ya Mwai Kibaki

    Wanajamvi!! Kwa muda mrefu sana kumekuwa na foleni kubwa ya magari barabara ya Mwai Kibaki wakati wa asubuhi saa 12 hadi sa 2 kwa watu wanakwenda Mbezi Beach kupitia daraja la Mlalakuwa JKT kupitia round about ya Kawe. Hali hujirudia tena jioni saa 10 jioni hadi 2 usiku kwa watu wanatoka Mbezi...
  8. Mama Mdogo

    Kenya Airways starts non-stop daily flight to New York tonight (28/10/2018)

    Kenya Airways has marked a great milestone with the launch of a non-stop flight from Nairobi to New York. The national carrier starts selling today tickets for the inaugural flight which is scheduled for today 28 October 2018. Kenya Airways becomes the first African airline to offer a non-stop...
  9. Mama Mdogo

    Serikali idhibiti uoneshaji wa video kwenye mabus ya abiria

    Katika kipindi cha mwezi huu nimekuwa na safari nyingi za kutembelea mikoa mbali mbali (route ya Dar to Morogoro, route ya Arusha to Dar, route ya Mwanza to Dar, route ya Dar to Tanga etc). Kitu kimoja kilichonisitua ni uoneshaji holela wa video show kwenye mabus bila kuzingatia maadili ya...
  10. Mama Mdogo

    NASA outlines plans to sue over 60 'computer generated' leaders

    Raila Odinga and Kalonzo Musyoka protested the provisional and final presidential election results following the Tuesday, August 8, election, claiming the results were computer generated. They based this on claims that the Independent Electoral and Boundaries Commission’s systems were hacked and...
  11. Mama Mdogo

    Umeme kukatika mara kwa mara jijini Dar es Salaam

    Kwanza napenda ku declare interest, mimi ni mkazi wa kudumu wa mkoani Katavi, jijini Dar es Salaam huwa nakuja kwa ajili ya masuala ya kiuchumi. Wiki nzima hii niko hapa jijini Dar rs Salaam kwa ndugu maeneo ya Kimara. Tatizo kuu nililoliona maeneo haya ni umeme kukatika mara nne hadi tano kwa...
  12. Mama Mdogo

    Mwendo kasi: Mawazo mgando yanaanza kuwatafuna

    Dar es salaam Rapid Transport (DART) imeeanza kuwa ni balaa badala ya neema kwa wakazi wa Dar es Salaam. Walianza kwa bashasha, nara oooh tutatoa huduma ya usafiri kwa Jiji la Dar es Salaam kwa uweledi uliotukuka na kila dakika 5 basi linaingia kituoni. Kwa jinsi muda unavyozidi kwenda na...
  13. Mama Mdogo

    Ushindi wa Afrika ktk Olimpiki ya Rio 2016

    Hivi ndivyo baadhi ya mataifa ya Afrika yalivyoorodheshwa katika jedwali la medali katika michezo ya Rio de Janeiro iliokamilika. Baadhi ya mataifa ya Afrika yalivyoorodheshwa katika jedwali la medali katika michezo ya Rio iliokamilika. KENYA ilikuwa katika nafasi ya 15 DHAHABU: Jemima Sumgong...
  14. Mama Mdogo

    Orodha ya idadi ya medali za Olimpiki kwa kila nchi kutoka Africa

    Bara la Afrika ni mshiriki mxuri wa michezo ya Olimpiki kuanzia kule Rome mwaka 1960 ambapo shujaa wa Afrika Abebe Bikila alitwaa medalu ya dhahabu katika mbio za marathon kwa muda wa saa 2:15:16.2 na ushindi huu ndio ulioleta medali ya kwanza ya olimpiki kutwaliwa na nchi ya Kiafrika. Kuanzia...
  15. Mama Mdogo

    Ratiba za mabasi ya mwendokasi pasua kichwa!

    Muda huu karibu saa moja kasorobo asubuhi ndiyo napita maeneo ya stand ya Jangwani. Njia nzima tangu Kimara hadi hapa Jangwani stand vituo vimejaa watu kwa mamia kama wako kwenye msiba. Mabasi yanayoenda Kimara hayawachukui na yakitoka Kimara yanakuwa yamejaa yanawapita tu. Niko najiuliza...
  16. Mama Mdogo

    Magari ya mwendo kasi: kufanya Kazi kwa mazoea

    Niko jijini tangu juzi. Leo nimejihimu tangu saa 12 asubuhi kuwahi bus la mwendo kasi hapa kimara. Nimekuta kituo kimejaa sana, abiria wamefika tangu saa 11. Ajabu bus la kwanza limekuja saa 12:15. Naona hawa viongozi wa DART/BRT hawajui maana ya demand and supply. Ushauri wa bure, badilikeni.
  17. Mama Mdogo

    Makamu wa Rais atoa saa 24 kuwatia nguvuni wale wote waliohusika mauaji Sengerema

    Kwa kweli Mama huyu kanifurahisha kwa kuagiza vyombo vya dola viwakamate wauaji ndani ya saa 24. Hata hivyo najiuliza, kwani wauaji kukamatwa ni mpaka isubiri amri ya Mheshimiwa Makamu wa Rais??? Swali la nyongeza, hivi wale wauaji wa Ndugu Mawazo walishakamatwa?? =======================...
  18. Mama Mdogo

    Mgombea urais mkali aelekea kushinda Philipines

    Muda mchache uliopita vituo vya uchaguzi vimefungwa huko Philipines. Taarifa za awali za kiurafit (Survey) zinaonesha kuwa mgombea urais mkali na asiyeoenda mzaha Rodrigo Duterte anaelekea kushinda. Mgombea huyu hana simile inapokuja suala la kupambana na majambazi, wezi, wauaji, wahujumu...
  19. Mama Mdogo

    Kukosa umakini wa kutoa taarifa kuhusu majanga kidunia

    Ndugu wanajamvi, Nimefuatilia hotuba ya Waziri Nauye wakati akiwa mkoani Tabora akisisitiza kuwa TBC ni lazima ibadilike iwe na umakini wa hali ya juu wa kufuatilia matukio ndani na nje ya nchi, na ikiwezekana iwe ni ya kwanza kuripoti. Hata hjivyo hadi leo niko najiuliza hii TBC imeshindwa...
  20. Mama Mdogo

    Rais Mstaafu Kikwete ashiriki Kikao cha Kamati ya Uandishi wa Bunge la Katiba ya Libya

    Rais Mstaafu Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ambaye ni Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Afrika katika utatuzi wa mgogoro wa Libya ameshiriki Mkutano wa Kamati ya Uandishi ya Baraza Maalum la Uandishi wa Katiba ya Libya (Constitution Drafting Assembly) unaoendelea mjini Salalah, Oman. Mkutano huo...
Back
Top Bottom