Search results

  1. A

    Paul Makonda ndiye Mkuu wa Mkoa anayependwa zaidi kuliko Wakuu wote wa Mikoa kwa sasa

    Ndiye Makamo M/kiti ajaye wa CCM na Rais pia ajaye wa Tz
  2. A

    Video clip ya Lema anamaanisha nini?

    Spika Tulia akitalii huko Pryimid, Misri na ulinzi mkali! Sema Lema kaweka hiyo video kama kejeli na mzaha.
  3. A

    TAKUKURU Arusha yabaini watumishi wawili kutengeneza control number bandia na kutengeneza kampuni hewa ili kuchepusha pesa!

    Mhunze, Jishapu, Ngw'ataga, Mangu, Shagihilu, Bhugogo, Ndoleleji, Idesa, Ngw'alata, Masanga, Ngw'angh'alanga, Isemelo mpaga Bhunzinza. Hahaha!
  4. A

    Kwa Mfanyabiashara Anaeweza Kuzalisha 1m kwa Mtaji wa 5m kwa wiki

    Najali! Biashara ya mafanikio ni siri.
  5. A

    Kwa Mfanyabiashara Anaeweza Kuzalisha 1m kwa Mtaji wa 5m kwa wiki

    5 milioni ukose 1 milioni kwa wiki, kweli!? To me,nikiwa na pikipiki ndogo cc125 na capital ya 2 milioni naweza kuingiza zaidi ya hiyo unayosema.
  6. A

    Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

    Kwa uthubutu na utenda kazi usio chosha, ni vyema sasa Mamlaka za uteuzi zimteue Makonda kuwa Mkuu wa Mikoa ya Arusha na Kilimanjaro. Kwa huyo Nurdin Babu sielewi hata huo Ukuu wa Mkoa alipewa kwa kigezo kipi!
  7. A

    Yu wapi mwana JF Suzy Elias?

    Mwanga Lutila usikariri eti kila mgeni humu hakuwa mfuatiliaji wa mijadala ya Jf. Na si kila kuku mgeni huhitaji kamba mguuni-jiongeze! Uone Error 404.
  8. A

    Yu wapi mwana JF Suzy Elias?

    Ni muda mrefu sasa mwana Jf Suzy Elias haonekani humu jukwaa la Siasa na isivyo kawaida! Yu wapi ndugu yetu?
  9. A

    Inakuwaje mke wa mtu ni sumu na mme wake hafi!?

    Embezzler mimi mwenyewe hata sielewi
  10. A

    Inakuwaje mke wa mtu ni sumu na mme wake hafi!?

    Nimekuwa nikijiuliza mda mrefu sana kuhusu hilo tisho eti mke wa mtu ni sumu. Ajabu, mbona mme wa Hugo mke hafi!?
  11. A

    Ushiriki kwenye uzinduzi wa kiwanda cha kuunganisha malori na tipa

    Matumizi mengineyo ya wakubwa. Elewa neno matumizi ya wakubwa!
  12. A

    LIVE Updates za Kimbunga Hidaya: Ulipo hali ikoje?

    Leo Pwani ya Tanzania inatarajiwa kukumbwa na dhoruba kali iliyopewa jina la Hidaya. Mwenye taarifa mwendelezo tunaomba tuweke hapa;
  13. A

    Utafiti wa Mwananchi ni matokeo ya ombwe la utafiti halisi wa maoni ya wananchi

    Wenye uwezo wa kununua Gazeti la The Citizens ni wasomi na ndiwo wamempitisha Magufuli
Back
Top Bottom