Amani iwe nanyi nyote.
Kuna jambo moja naliona na si kuona tu
Kila mwenye Biashara analalamika
Wafanyabiashara wa magari wanalalamikia LATRA na TRA Kwa uwepo wa ukwamishshaji na kutengeneza mambo Magumu ili kufungua mwanya wa rushwa, Mifumo kutoingiliana Nikiwa na maana kwamba Unapoanza kufanya...
Naghenjwa Kaboyoka Kumbuka Jimbo la Same Mashariki Ndio lilikufanya Ukajulikana Kwenye hili Taifa
Tunakuomba Usitupe mbachao Kwa masala upitao
Wakati unapochangia kule Bungeni mambo yako Kumbuka kusema lolote juu ya Jimbo lako. Tunajua wewe si Mbunge tena wa Jimbo hili Ila Kwa heshimu ya Ile...
Ni Matumaini yangu wote mko salama
Nasikitika kwamba Serikali ya Chama cha mapinduzi Ni waongo Sana Na Chama chenyewe ni Chama cha hila.
Bahati nzuri Mimi sina maneno mengi Sana Naenda moja Kwa moja Kwenye point kuthibitisha uongo wa Chama change cha Mbogamboga.
Nikiwa mdogo nilikuta Bicon za...
Habari wadau!
Kuna jambo hili linalalamikiwa sana na Serikali ya Kenya kila kukicha serikali imeweka pamba masikioni. Kuna uwindaji wa Tembo wakutisha unafanyika Endulen (kwa wasiojua Endulen ni pori la wanyama lililoko mpakani kati ya Amboseli National park na Tanzania upande wa huko West...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.