Search results

  1. M

    Kanisa Katoliki mnazingua, michango imekuwa kero

    Umesema vyema. Hii ni kero kweli kweli.
  2. M

    Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

    Makonda ni TINGATINGA jingine la Tanzania. Tulikuwa na Mwanamapinduzi, Mkombozi wa kweli wa Watanzania, Bulldozer, JPM, lakini sasa yupo Makonda anamwakilisha vizuri kabisa JPM. Kwa kifupi, Makonda hata akipewa ubalozi wa nyumba 10, atawafunika wote walio juu yake bila kujali vyeo vyao.
  3. M

    Viongozi wa dini, iepukeni dhambi hii

    Hatari kweli kweli.
  4. M

    Viongozi wa dini, iepukeni dhambi hii

    Nakubaliana na wewe katika hoja hii.
  5. M

    Viongozi wa dini, iepukeni dhambi hii

    Kwa kipindi hiki tunapoelekea kwenye chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu mwaka unaofuata kumekuwa na tabia ya viongozi wa serikali kuwaalika viongozi wa Dini kwenye matukio mbalimbali. Lakini pia kumekuwa na kawaida ya viongozi wa serikali kutoa mamilioni ya shilingi kama michango ya...
  6. M

    Hoja za Tundu Lissu kuhusu Muungano na ardhi ya Tanzania kugawiwa Waarabu.

    Mh. Tundu Lissu amekuwa akitoa hoja zake kuhusu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kuwa hauna usawa. Lakini pia amekuwa akieleza kuwa, ardhi ya Tanzania inagawiwa kwa Waarabu wa Oman kwa maelfu ya Hekta. Kutokana na hoja hizo, naomba watu wa serikali watoe majibu ya kina na ya kweli, vinginevyo...
  7. M

    Ushahidi wa Nyaraka na vielelezo kuhusu UZanzibar wa Rais Samia huu hapa

    Nchi mbili zliungana, yaani Tanganyika na Zanzibar, kama Zanzibar ipo, Tanganyika iko wapi?
  8. M

    Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

    Kwani Marekani ni mbinguni? Asipokwenda Marekani atapungukiwa na nini? Waafrika ifike wakati tuwe na AKILI timamu.
  9. M

    Mwananchi waomba radhi baada ya wananchi wengi kupiga kura ya kuridhishwa na Sera za Uchumi za Magufuli dhidi ya marais wengine

    Hapo wameshakula kitisho kwamba watafungiwa biashara yao. Ukweli ni kwamba, hakuna mtu yeyote kwa sasa anaweza kushindana na JPM halafu mtu huyo akashinda. JPM ni JIWE WALILOKATAA WAASHI. Kila atakayejikwaa katika jiwe hilo ataumia sana na yule litakayemwangukia jiwe hilo atasagika kama uji. Kwa...
  10. M

    LIVE UPDATES: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Iran na Israel

    Ninachokijua ni kwamba, Iran siyo ya kitoto. Nadhani hata Biden na Netapuss wanajua hilo ndo maana wanaigwaya Iran. Ikumbukwe kuwa, Israel iliposhambuliwa tu hatua ya kwanza ilikuwa ni kuomba UN kuitisha kikao cha dharula badala ya kujibu mashambulizi.
  11. M

    LIVE UPDATES: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Iran na Israel

    Mbele ya Iran hakuna cha Mosad wala mdogo wake mosad.
  12. M

    Wachungaji wetu mtaendelea kutupumbaza mpaka lini?

    Kumekuwa na wimbi kubwa la wachungaji wanaojinasibu eti wana uwezo wa kutenda miujiza kama vile kuponya watu, nk. Binafsi naona huu ni Utapeli uliokomaa na kuvuka mipaka. Je, Utapeli huu utakomeshwa lini na nani wa kuukomesha?
  13. M

    LIVE UPDATES: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Iran na Israel

    Kwa hiyo Israel kunyeshewa na mvua ya marocket bila kujibu mashambulizi ni mbinu za kivita? Je, Israel kuomba kikao cha dharula UN ni mbinu za kivita?
  14. M

    LIVE UPDATES: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Iran na Israel

    Kwani Israel kuna vita ipi alishinda bila msaada wa Marekani+NATO?
  15. M

    LIVE UPDATES: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Iran na Israel

    Nipo poa. Wasemaje weye
  16. M

    LIVE UPDATES: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Iran na Israel

    Israel kukubali kuogeshwa na mvua ya marocket kutoka Iran bila kujibu mashambulizi ni kuufyata mkia?
  17. M

    Israel yaendelea kutoa kipigo kwa HAMAS huku dunia ikiibembeleza isijibu Iran

    Hakuna kitu hapo. Hezbollah tu waliipigisha kwata Israel zaidi ya miezi mitatu, mpaka wakasalimu amri, itakuwa Iran ambayo hata Marekani wanaiogopa? Marekani wangekuwa hawaiogopi Iran wasingeiomba Israel kujizuia kulipa kisasi.
  18. M

    Israel yaendelea kutoa kipigo kwa HAMAS huku dunia ikiibembeleza isijibu Iran

    Israel imechakazwa kwa kiwango cha kimataifa lakini vyombo vya habari kama kawaida vinaibeba Israel. Marekani wanakumbuka kipigo walichokipata kutoka Iran walipomwua mkemia wa nyuklia wa Iran. Base za kijeshi zilizopo mashariki ya kati zilichakazwa kwa kiwango cha kimataifa. Wanajeshi zaidi ya...
Back
Top Bottom