Habarini ndugu zanguni [emoji2321]
Mimi hua napenda kuishi kwenye apartments kama zile za Upanga ila ndio million moja point ya papo hapo kulipia miezi kadhaa kwangu ni mtihani.
Hivyo nilikua nauliza kwa wanao zifahamu lodge au hotel kali za 15,000 mpaka 20,000 kwa siku. Wanisanue, Angalau...
Sifa za chumba
Kiwe kidogo
Kingae, I mean kipya kipya na vigae chini.
Wilaya ya ubungo au kinondoni
Mazingira kidogo ya rami (isiwe uswahilini sana)
Umeme masaa 24 (labda mpaka tanesco wakate)
Kulipa kwa miezi mitatu
Muanzia cha 50k hadi 100k kwa mwezi nachukua (Chumba kifanane na bei)
** kwa...
Hello, kama unaujuzi wowote wa Maswala ya mtandaoni, au una audience kubwa mtandaoni, mnaonaje tuwe kama watu kumi tufanye jambo. Coz kwenye swala la online earning watu Hua wanaujuzi mbalimbali tofauti tofauti, kingine unaweza pata hiki alafu ukakosa hiki ambacho mwingine anacho na kikubwa...
Nina website, nahitaji kupata njia ya kuaccept Mobile money payments. Siwezi tumia vitu kama selcom, pesapal au dpo pay kwa sababu huwa wanaomba document za kibiashara. Kuna njia yoyote mbadala wakuu????
Mimi n mkazi wa Dar, Sasa nahitaji kuanza kwenda mikoani kutafuta soko la bidhaa yangu. Kwenye kutafuta soko Huwa ni 50/50 kunakupata na kukosa, na pia inachukua muda kumshawishi mteja ambae ni muuzaji wa duka kuchukua bidhaa yako hivyo inabidi kuja na kurudi japo siku tatu hivi ili aone...
Sifa Zangu
Mm n wakiume [emoji1]
Mkristo
Nimejiajiri- (IT)
Sifa za Mchumba ×2
Awe wa Kike
Umri From 19-25
Dini Yeyote
Aishi Dar es Salaam
Vingine Tutaviongea [emoji120]
Njoo inbox Tuyajenge [emoji171]
Sehemu ya Kwanza: Maelezo Binafsi na Mawasiliano
Maelezo ya Kibinafsi:
Anza CV yako kwa kujitambulisha kwa jina lako kamili, anwani, namba ya simu, na anwani ya barua pepe. Hakikisha maelezo haya yako wazi na sahihi.
Muhtasari wa Kibinafsi:
Ongeza muhtasari mfupi wa kibinafsi unaoweka bayana...
Sehemu ya Kwanza: Kupika Keki kwa Mikono na Zana za Kienyeji
Kukusanya Vifaa:
Kwa njia hii, tutahitaji bakuli kubwa, kijiko, bakuli la kuchanganyia, na vifaa vingine vya kienyeji kama vile bakuli la kuchanganyia, kijiko, na kikombe.
Kupima na Kuchanganya:
Pima viungo vyako, kama vile unga...
Asante kwa kujiunga nasi leo! Leo, tutajifunza jinsi ya kupika keki kwa njia mbili tofauti: kwa kutumia mikono na zana za kienyeji, na kwa kutumia vifaa na mashine za kisasa. Kila njia ina sifa zake na inaweza kuleta keki bora na tamu. Bila kuchelewa, twende kwenye safari yetu ya kipekee ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.